Vurugu mitaani Mwanza kati ya wamachinga na polisi

Vurugu mitaani Mwanza kati ya wamachinga na polisi

Nilikuwa hapo barclays yaani ni hekaheka, kwa mara ya pili leo na nawa uso sababu ya mambomu ya machozi, yaani ni balaa. Mji mweupe hakuna kinzhoendelea zaidi ya polisi kupiga mabomu ya machozi
Huyu wenje aache kutuhadaa wananchi kwa kuomba muongozo kwa spika kuhusiana na hili sakata la machinga FFu.alikua anafaham kinachoendelea kuhusiana na hii operesheni ya kuondoa machinga vikao vilifanyika na alisaini manake haliwezifanyika jambo lolote kwenye jimbo bila mbunge kufahamishwa kwahiyo anafaham kila kitu hiyo ya kuomba muongozo kwa spika ni danganya toto ili tuone anatetea watu wa jimbo lake
 
  • Thanks
Reactions: ram
Nilipoeimama pembeni yangu kuna ndoo mbili zimejaa maji. Kazi yangu ni kuzamisha kichwa ndani ya ndoo za maji na kutoa. Navizia tu moja likidondoka karibu yangu naliokota na kulirusha ndani ya gari lao ili nao wasikilizie kile tunachosikilizia.
 
lloooooh nakuja ijumaa kwa ajili ya mapumziko huko

i cant wait
 
Nilichogundua hawa askari wetu ni waoga ile mbaya, japo wamesheheni silaha kibao lakini ukiona speed wanayopita nayo wakati wakirusha mabomu, utashangaa mwenyewe. Sasa najiuliza, wewe ni mjeshi na una siraha, mbio zote za nini wakati unaepambana nae ni raia tu na hana hata rungu!?
 
Wenje kapewa nafasi anaunguruma sasa juu ya vurugu za mwanza eneo la makoroboi.
 
Charming lady, uko wapi nikusalimie. Mimi nipo hapa karibu ni stabd ya mohamed trans. Ila nipo safarini, baada ya muda naendelea na safari yangu.

Mkui niko huku nanawa uso, yaan sitamaniki! Ila nimeambulia picha kadhaa nitatupia soon nikifika kwa Comp
 
Huyu wenje aache kutuhadaa wananchi kwa kuomba muongozo kwa spika kuhusiana na hili sakata la machinga FFu.alikua anafaham kinachoendelea kuhusiana na hii operesheni ya kuondoa machinga vikao vilifanyika na alisaini manake haliwezifanyika jambo lolote kwenye jimbo bila mbunge kufahamishwa kwahiyo anafaham kila kitu hiyo ya kuomba muongozo kwa spika ni danganya toto ili tuone anatetea watu wa jimbo lake

Unaongea assumptions tupu! Huna facts
 
Hao wakurya wataua mtu,na hilo fujo halitaisha leo wala kesho
 
Ningejua upo hapo, ningekuja kukupa hi, nimeshatoka town CHAMIlady kamsalimie Mashimba1 hapo miti mirefu ila sijui utapita wapi manake kila kona ni difenda za polisi tu na mabomu yao

Mamie yaan huku nilipojichimbia siwezi kutoka make nawashwa macho!
 
Last edited by a moderator:
SAM_0159.JPG SAM_0166.JPG SAM_0152.JPG SAM_0156.JPG SAM_0158.JPG SAM_0165.JPG SAM_0157.JPG
 
Serikali inaendelea kuzungumza na wahusika huko mwanza kupitia w.mkuu ili kujua ni nini kimetokea na hatua za kuchukua haraka!
 
Mamie yaan huku nilipojichimbia siwezi kutoka make nawashwa macho!

Pole sana, nilipo mimi kuna ndoo mbili zimejaa maji, njoo uzamishe kichwa kizima. Ndo kazi ninyofanya mida hii. Wadau hali bado ni tete hapa mjini, mabomu bado yanapigwa kila kona. Nahurumia kodi yangu ninayokatwa kila mwezi.
 
Back
Top Bottom