Vurugu mitaani Mwanza kati ya wamachinga na polisi

Vurugu mitaani Mwanza kati ya wamachinga na polisi

Kitu chochote kile kikifanyika bila utaratibu ni vurugu tuuu, hata ukisikiliza mziki mzuri utasikia mpangilio flani wa vyombo na sauti ya mwimbaji na ndio maana unaweza kusikiliza na kusifu kwamba ni wimbo mzuri. Issue ya machinga ingawaje ndio sisi tunaouza na kununua, kwa upande mwingine tumekosa sana kuwaachia mji na sasa wameutawala fika. Kila anayekuja hata waliofika jana, wanasema ndio wanategemea pale kwa kusogeza maisha yao. Ukweli ni kwamba bila kuwa na order zitabakia vurugu tu kila siku. Tuacheni unafiki na tuipe serikali au mamlaka inayosimamia zoezi hili angalau kurudisha hadhi ya mji na kufugua maeneo mengine kibiashara.
 
Nimedokezwa kuwa kuna Askari ameuwawa,sijui kama ni kweli!
 
Chadema wanatuhatibia Nchi.

Sheria zipo ili zifuatwe.
 
Ifike hatua watu waache shabiki za kisiasa
Mwanza inaendelea Opereshen ambayo ilaanzia Mbali na Matangazi yalitolewa myezi mitatu kabla kwanza ilianza na Vibanda vyote ktk maeneo ya Mjini kutolewa kisha wakafuata watu wa matoroli kutolewa mjini haya yote uameganyika kwa kuwaelekeza wahusika nn wafanye au wapi wahamie
Mfano soko la Kirumba wauza Ndizi Matunda walitakiwa wahame na wakatengewa maeneo Soko la Kiloleli
Pia hata hawa Wamachinga nao wanatakiwa wahame Maeneo ya Makoroboi na waende Sehem walopangiwa
Ila kwa sababu za kisiasa hawa watu washakuwa na Vichwa vigum na ndo maana haya yote yametokea
Ukiingea na wafanya Biashara wa Makoroboi wanalalamika kwani Mtu mwenye Duka Mbele ya Duka lake kuna Machinga nae Auza bidhaa ile ile aiuzayo mwenye Duka hebu jiulize kuna Usawa hapo Ilhali huyu Alipia Pango na Kodi tra ulhali huyu alipa Ushuru tu
Hii imepelekea leo Mwanza Wenye Maduka wamekuwa Wamachinga Machinga Ana Stoo kubwa Na Afata Mzigo Dubai
Sasa huu Si wizi

Taarifa
Baada ya hapa kuna Operesheni Nyingine ya Boda boda nao hawatakiwi kupaki Maeneo ya Mjini yani wakileta Abiria Warudi walikotoka

Kiukweli watu wakitii Miongozo hii Hata nyie Mtafurahia kuja Kulitembelea Jiji letu la Mwanza
Big up zoezi Safisha Jiji
 
Chadema wanatuhatibia Nchi.

Sheria zipo ili zifuatwe.
Kweli umezeeka na unazeeka vibaya sana, hapo chadema wanahusikaje kuharibu nchi, au unatumia elimu ya kukariri kama mlivyofundishwa zile enzi za zama zile. Tumia busara zako za uzee kuchambua mambo.
 
Mhhh!! Mbona hawatuiti na sisi JWTZ hapa kambi Nyanshana!?

Hii ni nchi na ina utaratibu wake bwana..alaaa! Blalifuli!!!
 
Augustine,
Vitu vingine mshikaji unaongeza chunvi kutokana na unavyojisikia...
Huwezi kabisa kulinganisha Kenya na Tanzania kwa kila hali. Wao infrastructure imesimama zaidi yetu, viwanda na hata system yao ya ukusanyaji kodi imetumika miaka nenda rudi ukichanganya na kodi ya kichwa wakati sisi bado wajamaa. Huwezi kusema Kenya elimu yao ipo juu mara nne yetu au Uganda na kuunganisha swali hilo na ukusanyaji fedha za kodi. Matapeli wakubwa wa kodi Kenya na Afrika yote ni wasomi haohao, bnado vitu hivi havina uzito. Elimu muhimu sana lakini kurudi miaka 40 nyuma kutafuta sababu hiyo tena umetoka nje. wanafunzi wa Nyerere ndio kweli wanaoiongoza TZ leo hii wao sii wazalishaji tena.. tunasubiri kustaafu. Mtoto aliyesoma darasa la kwanza 1985 wakati wa Mwinyi ndiye anatakiwa kuwa mzalishaji leo hii...Yule aliyeanza 88 hadi 90 anatakiwa kukuta hali nzuri ya secondary wakati wa Mkapa na hivyo hivyo... Sasa ikiwa Mkapa kweli ameweza kufanya la maana mbona hiyo mara nne ipo toka tupate uhuru? tena nachojua hapa unahesabu wingi wa wanafunzi, jukumu la Mkapa kuhakikisha wimbi linalokuja anaweza kukabiliana nalo....Na kwa nini Mkapa asitusogeza mbele kidogo ionekane hata wanafunzi wa Kenya na Uganda wanapenda kuja soma TZ.
Kuhusu Ukame, nimekwisha sema hizo takwimu zako ni makosa kwa sababu Kenya wamekusanya kwa miezi sita 6 hali JK ni miezi mitatu 3. Inflation hawaweki chakula na mafuta ktk kupima inflation yao! Yaleyale tunayokwambia kila siku... takwimu siku zote zina vipengele vyake na sio lazima vifanane. leo hii China wanaibomoa Marekani kwa kila hali lakini utasikia Bush akidai nchi yake pato linazidi kuongezeka!Kuna maendeleo leo hii kuliko wakakti wowote ule na kadhalika yote haya ni lugha za siasa ktk biashara! -Marekani wanafahamu kwamba China imewakalia kooni na hasa kuungana sana kibiashara na waafrika na waarabu. Sudan wameondoa mkataba wa mafuta na Marekani wamewapa China..Darfur imeibuka tena upyaaa hali watu bado walikuwa wakifa ktk kipindi cha miezi sita iliyopita!

Usijitoe ufahamu ndugu yangu, kiwa JWTZ haimanishi kwamba wewe ni special sana, hiyo ni ajira tu kama zilivyo ajira zingine, na kama hizo gwanda ndo zinakupa kiburi, mtu yeyote anaweza kuzivaa provided ni mtanzania. Hakuna asiyependa utaratibu, tatizo ni namna serikali inavyokuwa serious na vitu sensitve. Nakumbuka hawa watu waliwahi ondolewa eneo hilo na kuna wakati nilipita eneo hilo na hakuna machinga aliekuwa akifanya biashara maeneo hayo, sasa tujiulize, ilikuwaje wajarudi tena? Hapo ndo udhaifu wa serikali yetu ulivyo. Hatupaswi kuwa watu wa ndimi mbili, tatizo hili litaendelea kututafuna tu. Kwa ujumla tunafanya mambo kwa msukumo wa kisiasa. Tuache siasa ktk mambo ya msingi, kama tunazuia, tuzuie kweli kweli siyo leo unazuia halafu kesho unaruhusu kwa watu wengine. Bila hivo tutegemee majanga zaidi ya haya.
 
Vurugu-wamachinga-Mwanza.jpg

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara ndogo (wamachinga) waliokuwa wanapinga kuondolewa katika eneo la Kempu na eneo la soko la Makoroboi jijini humo.



Aidha, hatua hiyo imesababisha vurugu na kusimamishwa kwa shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwemo kufungwa kwa maduka hadi katikati ya eneo la jiji na baadhi ya huduma ya usafiri kukosekana kwa muda katika barabara zinazokatiza katikati ya jiji hilo, ambapo kuanzia nne asubuhi hadi tunaenda hewani mashuhuda wanasema...

Habari zaidi, soma=>
Mabomu ya machozi yarindima Mwanza kutawanya wamachinga
 
I wish iwe ni habari ya kweli!

Habari zinadai kuwa nyumba iliyochomwa na kuwahiwa kuzimwa ni msikiti wa ijumaa ulioko barabara ya Nyerere,sijui habari hizi zina ukweli kiasi gani!
 
hawa POLISI mbona siwaelewi hapa MWANZA wanaleta vugurugu watu tuna shindwa kufanya shughuli zetu, wamebomoa vibaNDA VYA MACHINGA WAMETULIA SASA nashangaa polisi wamekazana kufukuza watu mjini

hapo ni conflict of interest. jiji wanadanya kodi kwa wafanyabiashara rasmi wakati machinga haguswi. matokeo yake machingaa wanaharibu bei za walipa kodi kumbuka pia wanalipa pango la nyumba.

polisi hajui nani machinga na asiye machinga. hivyo wataendelea na operation yao hadi pawe shwari. yote haya yanawezekana kwa sababu ccm wameshika jiji. Adam wa igoma sijui yuko pande ipi na baada ya kugawa halimashaur ya jiji, ccm wamehodhi jiji zima. maamuzi wanafanya wao.

wakulaumiwa siyo polisi kama unavyofanya, bali ni kuwalaum wapiga kura na madiwani wasaliti. wakati chadema imeshika jiji, kabwe aliwahi kufanya op ambayo walianza kulaumiana.
 
SAM_0170.JPG SAM_0171.JPG SAM_0172.JPG SAM_0177.JPG SAM_0174.JPG SAM_0175.JPG
POLISI Jijini Mwanza wameamru kufungwa kwa Biasha na Soku kuu siku ya leo, na taharuki ya mabomu bado yanaendelea kurindima
 

Attachments

  • SAM_0179.JPG
    SAM_0179.JPG
    68.2 KB · Views: 143
Ifike hatua watu waache shabiki za kisiasa
Mwanza inaendelea Opereshen ambayo ilaanzia Mbali na Matangazi yalitolewa myezi mitatu kabla kwanza ilianza na Vibanda vyote ktk maeneo ya Mjini kutolewa kisha wakafuata watu wa matoroli kutolewa mjini haya yote uameganyika kwa kuwaelekeza wahusika nn wafanye au wapi wahamie
Mfano soko la Kirumba wauza Ndizi Matunda walitakiwa wahame na wakatengewa maeneo Soko la Kiloleli
Pia hata hawa Wamachinga nao wanatakiwa wahame Maeneo ya Makoroboi na waende Sehem walopangiwa
Ila kwa sababu za kisiasa hawa watu washakuwa na Vichwa vigum na ndo maana haya yote yametokea
Ukiingea na wafanya Biashara wa Makoroboi wanalalamika kwani Mtu mwenye Duka Mbele ya Duka lake kuna Machinga nae Auza bidhaa ile ile aiuzayo mwenye Duka hebu jiulize kuna Usawa hapo Ilhali huyu Alipia Pango na Kodi tra ulhali huyu alipa Ushuru tu
Hii imepelekea leo Mwanza Wenye Maduka wamekuwa Wamachinga Machinga Ana Stoo kubwa Na Afata Mzigo Dubai
Sasa huu Si wizi

Taarifa
Baada ya hapa kuna Operesheni Nyingine ya Boda boda nao hawatakiwi kupaki Maeneo ya Mjini yani wakileta Abiria Warudi walikotoka


Kiukweli watu wakitii Miongozo hii Hata nyie Mtafurahia kuja Kulitembelea Jiji letu la Mwanza
Big up zoezi Safisha Jiji

Shukrani mkuu kwa ufafanuzi mzuri....

Tunaisubiri pia hiyo OP namba 2.....
 
Ifike hatua watu waache shabiki za kisiasa
Mwanza inaendelea Opereshen ambayo ilaanzia Mbali na Matangazi yalitolewa myezi mitatu kabla kwanza ilianza na Vibanda vyote ktk maeneo ya Mjini kutolewa kisha wakafuata watu wa matoroli kutolewa mjini haya yote uameganyika kwa kuwaelekeza wahusika nn wafanye au wapi wahamie
Mfano soko la Kirumba wauza Ndizi Matunda walitakiwa wahame na wakatengewa maeneo Soko la Kiloleli
Pia hata hawa Wamachinga nao wanatakiwa wahame Maeneo ya Makoroboi na waende Sehem walopangiwa
Ila kwa sababu za kisiasa hawa watu washakuwa na Vichwa vigum na ndo maana haya yote yametokea
Ukiingea na wafanya Biashara wa Makoroboi wanalalamika kwani Mtu mwenye Duka Mbele ya Duka lake kuna Machinga nae Auza bidhaa ile ile aiuzayo mwenye Duka hebu jiulize kuna Usawa hapo Ilhali huyu Alipia Pango na Kodi tra ulhali huyu alipa Ushuru tu
Hii imepelekea leo Mwanza Wenye Maduka wamekuwa Wamachinga Machinga Ana Stoo kubwa Na Afata Mzigo Dubai
Sasa huu Si wizi

Taarifa
Baada ya hapa kuna Operesheni Nyingine ya Boda boda nao hawatakiwi kupaki Maeneo ya Mjini yani wakileta Abiria Warudi walikotoka

Kiukweli watu wakitii Miongozo hii Hata nyie Mtafurahia kuja Kulitembelea Jiji letu la Mwanza
Big up zoezi Safisha Jiji

Asante kaka, siasa inasumbua sana. Watu wanatakiwa wafuate taratibu zilizowekwa. Hapo Makoroboi ni siku nyingi sana walitakiwa waondoke, lkn kwa sababu za wanasiasa kutaka umaarufu wanakuwa wanawadanganya warudi na kuwa watawatetea!
 
Back
Top Bottom