Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,704
- 6,658
Duh, tatizo gani?Vodacom nina shida ya M-PESA, naomba kuongea na Mhudumu direct haraka kabla pesa yangu haijapotea.
Nimetuma pesa kutoka HALOPESA kwenda vodacom kimakosa,Duh, tatizo gani?
Nimetuma pesa kutoka HALOPESA kwenda vodacom kimakosa,Duh, tatizo gani?
Tuma namba hizoNimetuma pesa kutoka HALOPESA kwenda vodacom kimakosa,
Halotel wamesema hawana uwezo wa kuirudisha, ila tuu watanisaidia kutuma taarifa kwenu.
Mimi ninachotakiwa niongee na nyie muirudishe HALOPESA.
Sasa hakuna option ya kuongea na huduma kwa wateja kwenye namba yenu ya 100
bei za vifurushi vyenu si rafiki kwa ya maisha ya watanzania wa sasa ndo maan weng tumekuja na kampen ya hamia mtandao fulan🤣🤣Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Tunakushauri kuwasiliana na Dar es salaam Stock Exchange kwa kutumia namba zao hizi za simu 255 22 2123983 kwa msaada na taarifa zaidi.Njia ya kununua hisa na bei ya hisa
😃😃Kwa kula bando ndo paliponishinda mkuuAiseeh.. Vodacom,kwenye swala la kukomba data nimewaelewa, yaani 1GB yenu, Ni sawa na 500MB mwingine.Mabando yenu mmewekea hamira.