Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania


naomba kufahamisha viwango(tarriffs) vya makato unaponunua vitu online kupitia vodacoma mastercard.
 
Nyie vodacom hayo ma meseji yenu sjui mnada poa, pesa ni mpesa, songesha na uchafua kama huo hamuwezi kusitisha?



"Not everything is for everybody"
 
VODACOM KILA MUNAPUNGUZA MB ZA KILA BAADA YA KIPINDI. MULIANZA 3GB kwa buku 3000 NOW NI GB2 kwa wiki. Sio poa munatuibia
 
Hapo awali M-PESA ilikuwa ni kampuni iliyo anziasha au kubudi mobile money payment hapa East Africa, ili iweze kufanya kazi ndio ikaingia partnership na vodacom Tanzania & SafariCom Kenya.... kwasasa sijui kama wameshakuwa kitu kimoja au bado wako na partnership....

Tofauti na tigo Pesa & Airtel money, hizo zinamilikiwa na makampuni husika ya simu
 
43 Reactions
Reply
Back
Top Bottom