Wameondoaaaaaayaani leo kuanzia saa moja nimeshindwa kujiunga na huduma ya ofa ya kwako tu et haipatikani kama mmeiondoa c mtujulishe ukweli mnakera sana kwa staili hii
Weeee mb 70 tu......kifurushi yani hiko.....wanachonikera airtel ukiwasha data tu kuanzia usiku mpk asubuhi hata kama ulikua na GB tatu wanakwambia zimeishaAirtel wako poa sana 1500 dakika 150 na MB 750 kwa wiki
Hii kweli kabsaVodacom mijizi toka longi.. Ukipiga customer care kuna videmu vinacheka cheka tu.. Sijui wanaviokotaga wapi? Usithubutu kulala na salio la voda ukiamka asubuhi wamekulamba lotee
Hawa ni wezi ukiacha salio hata shilingi 5 tu huikuti ...nipo zangu airtelMajizi makubwa nyie
Yaani tabia nilidhani ni kwangu tu..Huu mtandao ni wezi sanaVodacom mijizi toka longi.. Ukipiga customer care kuna videmu vinacheka cheka tu.. Sijui wanaviokotaga wapi? Usithubutu kulala na salio la voda ukiamka asubuhi wamekulamba lotee