Dangotte Junior
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,949
- 8,509
Dogo njoo makumbusho kesho ukifika niCall nikuweke kitengo.
Dogo njoo makumbusho kesho ukifika niCall nikuweke kitengo.




kitengo pale ABSA Bank au?Ndiyo naanii?
Mfamasia degree holder anaanza na TGHS D. mshahara wake chini ya millioni.Labda intern pharmacist ndo analipwa laki 9...
Mfamasia degree holder anaanza na TGHS D. mshahara wake chini ya millioni.
Mkuu mbona internship za tanroad hatuzipati na sisi, au wanapeana kwa kujuana?Mkuu huyo meneja yupi, wakati internship TANROAD analipwa 1.1M nazungumza kitu nachokifahamu zaidi ya asilimia 200.
Maoni yangu baada ya kupitia uzi mzima;
Tumia ajira kama fursa au daraja la kupata mtaji wa kuanzisha chanzo chako binafsi cha kipato!
Baada ya makato ni majanga wacha hiyo gross ibaki hivyo hivyo







TbtNarudia tena mfanyakazi yeyote hutakaa utoboe kwa kutegemea mshahara pekee, mawili ili uchomoke
1. Uwe mwizi job
2. Umeinvest kitu kinachokuingizia hela daily
Tofauti na hapo unaenda kufa masikini wa kutupwa aka kibudu. Period





Jibu lipo wazi, angalia jengo la BOT mza lenye thamanj ya 44Bil ndo utajua hela wanakotoa😜!Engineer mbn hajatendewa haki kbx inakuwaje engineer awe na maisha ya juu kumzid dakitari while salary scale ya Dr iko juu
Hua mnajiskiaje kuongea vitu vya kufikirika. Mshahara wa mfamasia TAMISEMI ma Wizarani ni 1,215,000/=.Mfamasia degree holder anaanza na TGHS D. mshahara wake chini ya millioni.
Nakufa hapa mpaka ChinaTanroads degree milioni 20, diploma milioni15, certificate milioni 10
Nakufa hapa mpaka China
Ahsante kwa muongozo mkuuHua mnajiskiaje kuongea vitu vya kufikirika. Mshahara wa mfamasia TAMISEMI ma Wizarani ni 1,215,000/=.
Kwenye mashirika unatofautiana kulingana na position na shirika lenyewe (MSD, NHIF, TMDA etc).
Hapa Swala Tusiangalie cheo tuangalie na fursa Kama training, seminar etc. Sasa MWALIMU anaweza kuzifikia hizo kada nyingine ......Umeona mwalimu tu?
Muhasibu, Afisa utumishi, afisa mipango na wengine wengi tu wanazidiwa na mwalimu wenyewe laki 7.1 wakati mwalimu 7.16