Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Viwango vya mshahara serikalini degree 1

😀😀😀 2M ni nyingi kwa Meneja? Sema Mishahara ya Serikali inategemea uko taasis gani mwalimu wa Degree ni kama Mara 3 na Nusu kufika Mshahara wa Entry degree level wa TRA wa Sh. 2, 340,000/= + 10% ya Over Time anakua kwenye 2.5M take home kama Hadaiwi loan Board anaweza Kuchukua 1.9M
Embu tuambie kabla ta July 2019 walikua wanakula ngapi hao majamaa...enh..
 
Nafikiri wengi wanahitaji mada ya namna ya kupata kazi serikalini kabla ya kujua mishahara. Ukikaa miaka 4 home na degree halafu huna kazi, ukiitwa sehemu mshahara 360,000/=, unaweza kukubali hata kufanya usiku na mchana
 
Sema ukisikiliza sana mada kama hizi utaishia kuambiwa bora kujiajiri kuliko kuajiriwa

Lakini bado tunazihitaji ajira, ingekuwa kujiajiri ni rahisi hivyo pasingekuwa na lundo la waajiriwa kuliko waliojiajiri

Kwanza anayekwambia jiajiri humjui, hujui kama yeye amejiajiri na anapata pesa ngapi, isijekuwa ni kutaka wote tulostike tu
 
Nilipokuwa kijana nilikuwa na mawazo kama yako ila nilipoingia kazini ndio nimegundua. Issue ya mshahara mkubwa haijalishi umesoma nini bali unafanya kazi wapi?
Muhasibu wa ofisi X anazidiwa salary na dereva wa ofisi Y.
Omba Mungu upate taasisi nzuri na sio CPA.
Umeongea vizuri sana mkuu.
 
Sema ukisikiliza sana mada kama hizi utaishia kuambiwa bora kujiajiri kuliko kuajiriwa

Lakini bado tunazihitaji ajira, ingekuwa kujiajiri ni rahisi hivyo pasingekuwa na lundo la waajiriwa kuliko waliojiajiri

Kwanza anayekwambia jiajiri humjui, hujui kama yeye amejiajiri na anapata pesa ngapi, isijekuwa ni kutaka wote tulostike tu
Kila MTU anataka kujiajiri ila ni muhimu kuajiriwa ili upate msingi na mtaji. Vijana tafuteni ajira mkipata kopeni anzisheni miradi. Ikisimama acha kazi simamia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom