Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Mwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000

Kama ndivyo ilivyo, basi waalimu wanaonewa sana, na kiukweli waalimu ndo wanazalisha hao watu wengine.
 
Mwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000
Muhasibu, HR 710,000
Mwalimu 716,000
Sheria 950,000
Wahandisi 950,000
Nesi 980,000
Mfamasia 1.2 mill
Daktari 1.48 mill
Hizo ni Gross/basic salary
 
Vijana mnadanganyana sana baadae mkija mtaani mnaingia chaka mnaanza kuishi maisha ya lawama
2M ni nyingi kwa Meneja? Sema Mishahara ya Serikali inategemea uko taasis gani mwalimu wa Degree ni kama Mara 3 na Nusu kufika Mshahara wa Entry degree level wa TRA wa Sh. 2, 340,000/= + 10% ya Over Time anakua kwenye 2.5M take home kama Hadaiwi loan Board anaweza Kuchukua 1.9M
 
Wakuu hivi mwalimu ngazi ya

Certificate

Na diploma

Wanachukua shi ngapi?
 
Ndo hivyo mkuu.
Mwalimu anaumizwa sana moyoni
Mkuu sasa walimu wanaoishi Dar wanaishije?. Kiukweli nihela ndogo sana 460K ndio maana walimu wanamadeni mengi, kiukweli sio haki kabisa. Leo wanataka na wahandisi tukawe walimu aah ha ha yaani, mimi kazi yangu mayofanya nilienda site kwa siku nalipwa lakimoja, na nakaa site zaidi hata ya siku 12 kila mwezi.Halafu leo muhandisi mwenzangu niliehamgaika nae umlipe 460K bila hata malupulupu kiukweli sio haki kabisa.
 
Mishahara haijawahi kufanana kila taasisi ina scale zake ila tu jua Halmashauri ndo pakichovu zaidi, Kuna mashirika yanayozalisha kama Ngorongoro,TPA, TRA, TANESCO, TANROAD huku kote kwa degree lazima aanzie 1m and above ile hali halimashauri degree maxium anachezea 900k tena wengi huanza 700k ivi kutegemea na Fani
 
Mishahara haijawahi kufanana kila taasisi ina scale zake ila tu jua Halmashauri ndo pakichovu zaidi, Kuna mashirika yanayozalisha kama Ngorongoro,TPA, TRA, TANESCO, TANROAD huku kote kwa degree lazima aanzie 1m and above ile hali halimashauri degree maxium anachezea 900k tena wengi huanza 700k ivi kutegemea na Fani
Jafoo yuko busy anakagua kuta za majengo wakati watumishi wake serikali za mitaa ni masikini kuliko watumishi wote serikalini
 
Umeona mwalimu tu?
Muhasibu, Afisa utumishi, afisa mipango na wengine wengi tu wanazidiwa na mwalimu wenyewe laki 7.1 wakati mwalimu 7.16
Mkuu take home 460K kiukweli nihatari, sasa hio sihela tu yakula mwezi mzima kama unafamilia yako na ndugu tegemezi hio ela haitoshi kabisa.
 
Back
Top Bottom