RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,734
- 11,461
Mkuu huyo meneja yupi, wakati internship TANROAD analipwa 1.1M nazungumza kitu nachokifahamu zaidi ya asilimia 200.Tanroad hebu nenda ukaulize vizuri,meneja wa mkoa tanroad anakunja milioni 2,izo status ilikuwa ni zamani kwa baadhi ya taasisi
