Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Mwalimu 716,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Kwa hawa niliowabakisha, sirikali ili-view hivyo viwango, unless kama kuna marupu rupu kama yale ya watumishi wa hazina. Jamaa hapo juu wanagusa moja kwa moja maisha yetu sisi na hasa katika umasikini huu.

Wa kwanza ana groom woooote hao, wa pili na watatu ni muhimu haswa pale afya inapoyumba, wa nne anacheza na afya zetu kabla na baada ya afya kuyumba.

Wa mwisho, kutegemea na upande aliopo, anaweza ama kulinda uhai au kuuangamiza pia.

Yote kwa yote, waache janja janja za kupeana Meal allowance ya tzs 750k na mishahara ya 900k, mpe mtu 2mln, mpige paye. Mbona wale wengine wanapewa kiinua mgongo cha 282mln kwa miaka 5!
 
Nina jamaa yangu alikuwa na akili tangu primary hadi chuo na alisoma sayansi

Aligraduate 2012/2013
Mpaka leo hana ajira

Huyu hata ukimwambia awe mfagizi leo hakatai

Mnaosema kuajiriwa sio ishu inategemea na maisha yako
HAKIKA,alisomea course gani?.
 
Mwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000
Huu ni uongo kiwango cha lami. Mishahara iko kwa scales, mfano serikali kuu hutumia TGS D, E, F, mahakama TJS 1, 2.

May be ungesema kuanzia kiasi fulani mpaka kiasi fulani. Hapo ningekupata vizuri. Scales za mishahara ziheshimiwe vizuri.

Kumbuka kuna taasisi za kiserikali zenyewe zina scales zake za mishahara haifungamani na serikali kuu. Kama TANROADS.
 
Back
Top Bottom