Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,024
- 104,325
Sio mwaka tuu, labla kwa miaka 5Labda kwa mwaka.
Sio mwaka tuu, labla kwa miaka 5Labda kwa mwaka.
Sio mwaka tuu, labla kwa miaka 5
Mishahara haijawahi kufanana kila taasisi ina scale zake ila tu jua Halmashauri ndo pakichovu zaidi, Kuna mashirika yanayozalisha kama Ngorongoro,TPA, TRA, TANESCO, TANROAD huku kote kwa degree lazima aanzie 1m and above ile hali halimashauri degree maxium anachezea 900k tena wengi huanza 700k ivi kutegemea na Fani
inategemea yupo taasisi gani...mfano hiyo taasisi iwe ni ya miradi mfano tanesco anakunja hadi milion 2 lakini pia awe kwenye hiyo idara yenye safari nyingi mfano transmission ...ila halmashauri ni njaa kali last time niliona wanapewa 310,000Tsh wanaoanzaVip madereva wa su,stj,
Mmmmh....! Kuna itajika ufafabuzi zaidi...Mkuu mishahara mingine inategemea nataasis, mfano Engineer aliejaliwa DAWASA huo mshahra hapo juu, ukiuzidisha hata mara mbili bado haufikii.Engineer aliejariwa TPA,TANESCO, mshahara wake bado huo aliotaja nimdogo sana, Engineer alieajiriwa TANROAD kama intern anakunja tu 1.1M, hio Ni internship Sasa alieko permanent sio mchezo mshahara wake.
Tbs pale mtu akienda Jmosi/jpil akasain mahudhurio ni elfu 40 perday, engineer akitoka nje yakituo chakazi analipwa zaidi 150K kwa siku, hio ninje ya mshahara.
Huo mshahara aliotaja hapo nivitaasia kama TAMESA, ingawa halmashauri sifaham mshahara wao.
Mmmmh....! Kuna itajika ufafabuzi zaidi...
Hata majeshini (polisi, magereza, uhamiaji, jw etc) wanapata zaidi...
Mshahara kuanzia 780,000/- kama sijakosea
Pesa ya chakula kila katikt ya mwezi 300,000/-
Pesa ya taaluma 200,000/-
Pesa ya nyumba 200,000/- hadi 500,000/-
Pesa ya umeme 40,000/-
Pesa ya maji
Bonus kibao...
Ukijumlisha ni mapesa marefu wana pokea pamoja na kuishi kifukara...
Pia bado trip za nje ya kituo cha kazi nk... Bonus ni nyingi
Ww DC nini!!?Daah! Kumbe mi nakunja parefu kwa mwezi,nmewapita wengi.
FafanuaKuna uongo mkubwa sana hapa.
Fuatilia vizuri ulikotoa hizo data utapata majibu sahihi zaidi kuliko kukwambia mimi.Fafanua
Nilikuwa na imani utarekebisha palipo kosewaFuatilia vizuri ulikotoa hizo data utapata majibu sahihi zaidi kuliko kukwambia mimi.
Nataka ujifunze zaidi kuliko kukupa majibu ya moja kwa moja.Nilikuwa na imani utarekebisha palipo kosewa
Hujamuona mwalimu hapo mkuu? Fikiria mwalimu wa Physics, Chemestry, Mathematics, Biology ana degree halafu analipwa less than 1,000,000/=? Hu ni mzaha kabisa. Ndio maana walimu wa sayansi ni adimu sana kwenye mashule za serikali, sababu ni kama hi, yaani hi ni dharau kabisa jamani. Kama kweli serikali haina pesa, kwanini tunawekeza sana kwenye siasa? Binafsi napendekeza, kama hatuwezi kupunguza mafao ya wana siasa, basi tupunguze idadi ya vikao vya wabunge, wakutane hata mara 2 tu kwa mwaka. Haingii akilini mbunge analipwa kitu kinaitwa eti sitting allowance wakati hiyo ndio kazi yake. Kwanini umlipe mtu allowance kwa kufanya kazi yake? Basi hata walimu nao walipwe teaching allowanceEngineer mbn hajatendewa haki kbx inakuwaje engineer awe na maisha ya juu kumzid dakitari while salary scale ya Dr iko juu
Miaka aliyokaa shuleni Daktari na Engineer inatofautiana na mishahara ni hivyohivyoEngineer mbn hajatendewa haki kbx inakuwaje engineer awe na maisha ya juu kumzid dakitari while salary scale ya Dr iko juu
Mfamasia umedanganyaMwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000
Andika kiume kwanza usilete utoto wakati umeuliza mada ya maana. Unaandika kama mada ya kubet.




eti mada ya kubet
Hahahaha kwel kabisaNafikiri wengi wanahitaji mada ya namna ya kupata kazi serikalini kabla ya kujua mishahara. Ukikaa miaka 4 home na degree halafu huna kazi, ukiitwa sehemu mshahara 360,000/=, unaweza kukubali hata kufanya usiku na mchana