Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Viwango vya mshahara serikalini degree 1

Serikalini ni shida kijana angalia namna ya kufanya mishe zako ikiwemo biashara , mambo za sijui ngazi za mishahara utachelewa sana na matokeo yake akili yako inakua mgando unakua chawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa na pengine unaanza kuwa mchawi maana hutakua independent being ,utaamini kwenye maajira mauteuzi etc
 
Tena tunataka tuwapunguzie kutoka 950,000 Hadi 900,000
Mimi huwa na shangaa Sanaa mtuu analeta solution bila kufanya analysis

Hizo salaries ulizotaja ni za wizarani na local government na unakuta mtu analipwa hivyo ila Ina gari ya mil 60, anyways turudi kwenye points Mimi nimefanya kazi private sector kwenye very reputable companies na now nipo serikali kwenye reputable public institution naomba nisema hakuna kama serikalini, tusiongeleee kazi za wizarani na halmashauri ambao ni income consumers and sectors let us talk about the salaries of MDA is the income producers example TRA, TCRA, TCAA and et cetera imagine TCRA graduate anatoka chuo analipwa mil 4.5 hapo Bado allowances naomba tuongeleee kuhusu graduate aliyetoka chuo anakopeshwa mkopo wa nyumba wa mil 120 pale NHIF. Naomba tuongeleee pande zote mbili kwa income consumers and income producers
 
Mimi huwa na shangaa Sanaa mtuu analeta solution bila kufanya analysis

Hizo salaries ulizotaja ni za wizarani na local government na unakuta mtu analipwa hivyo ila Ina gari ya mil 60, anyways turudi kwenye points Mimi nimefanya kazi private sector kwenye very reputable companies na now nipo serikali kwenye reputable public institution naomba nisema hakuna kama serikalini, tusiongeleee kazi za wizarani na halmashauri ambao ni income consumers and sectors let us talk about the salaries of MDA is the income producers example TRA, TCRA, TCAA and et cetera imagine TCRA graduate anatoka chuo analipwa mil 4.5 hapo Bado allowances naomba tuongeleee kuhusu graduate aliyetoka chuo anakopeshwa mkopo wa nyumba wa mil 120 pale NHIF. Naomba tuongeleee pande zote mbili kwa income consumers and income producers
Kama Ni kweli graduate anaanza na 4.5M huko tcra, Basi CPA (T), wataanza na 5+M
 
Kwakweli walimu tunalipwa punje sana.

Sasa 716,000 wakipitisha mapanga inabakia pungufu ya 600!

Hapa ni kupambana na vibiashara tu,

Kazi iendelee.
 
Nilipokuwa kijana nilikuwa na mawazo kama yako ila nilipoingia kazini ndio nimegundua. Issue ya mshahara mkubwa haijalishi umesoma nini bali unafanya kazi wapi?
Muhasibu wa ofisi X anazidiwa salary na dereva wa ofisi Y.
Omba Mungu upate taasisi nzuri na sio CPA.
very true dereva wa mwauwasa anakula 900k wakati hr, mwalimu naefanya kazi halmashauri ni 700k
 
Wakuu, Tanroad yenyewe mshahara umekaaje,mfano wale jamaa wa mizani wanavuta ngapi
 
Back
Top Bottom