Hiyo ni gross hapo unatakiwa utoeHii ni gross or net salary???
HESLB 15%
PAYE 9%
NHIF 3%
VYAMA VYA WAFANYAKAZI 2%
Kinachobaki ndio jasho lako
Hiyo ni gross hapo unatakiwa utoeHii ni gross or net salary???
Duh hatar aiseeh kwel ualim mtihan kwel kwel aiseehHiyo ni gross hapo unatakiwa utoe
HESLB 15%
PAYE 9%
NHIF 3%
VYAMA VYA WAFANYAKAZI 2%
Kinachobaki ndio jasho lako
Duh hatar aiseeh kwel ualim mtihan kwel kwel aiseeh
Serikali ipi hio ambayo ukiwa na CPA unalipwa 950K??? Unaijua CPA kweli wewe?Mwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000
Ukiwa mwalimu utalipwa kwa scale za walimu hata kama wewe ni muhandisi wa ndege.Dah wahandisi nao njaa tupu aiseeh,
Sasa wahandisi wanaomba kufundisha nayo watalipwa hyo 950k au 716k?? Mwenyew uelewa
Mbona hueleweki?Engineer mbn hajatendewa haki kbx inakuwaje engineer awe na maisha ya juu kumzid dakitari while salary scale ya Dr iko juu
Ujibane kweli tena kwa kuvaa nguo za mitumba . Ukitaka kuvaa nguo za kinazari take home yako itaishia kwenye gauni tuKuajiriwa ni ungese pale ni pakutafutia mtaji tu
Na ujibane kwelikweli
mm mwenyew nilishangaa...CPA or wale ambao wana cheti cha PSPTB wanavuta mpunga mrefu..Serikali ipi hio ambayo ukiwa na CPA unalipwa 950K??? Unaijua CPA kweli wewe?
Very true, watu tunajisahau sana maofisiniUjibane kweli tena kwa kuvaa nguo za mitumba . Ukitaka kuvaa nguo za kinazari take home yako itaishia kwenye gauni tu
Sikiliza mkuu hakuna kitu kinachoitwa mpunga mrefu halmashauri. Hizo habari za mpunga mrefu ni huko kwenye taasisi na mashirikamm mwenyew nilishangaa...CPA or wale ambao wana cheti cha PSPTB wanavuta mpunga mrefu..
Hakuna kitu kinachoitwa mpunga mrefu halmashauri hata uwe na CPA. Habari za mpunga mrefu in huko kwenye taasisi na mashirika ya umma.mm mwenyew nilishangaa...CPA or wale ambao wana cheti cha PSPTB wanavuta mpunga mrefu..
Nilipokuwa kijana nilikuwa na mawazo kama yako ila nilipoingia kazini ndio nimegundua. Issue ya mshahara mkubwa haijalishi umesoma nini bali unafanya kazi wapi?mm mwenyew nilishangaa...CPA or wale ambao wana cheti cha PSPTB wanavuta mpunga mrefu..
Wahandisi wengi wako vizuri sana financially kuliko madakitari wakat salary scale ya dakitar iko juuMbona hueleweki?
Ni kazi za nje ndo zinawapa hela, mfano wewe Ni mhandisi pale TBA MSHAHARA wao Ni Kama wa halmashauri Ila Kuna kazi za nje unapata kutokana na kufahamika. So usiangalie sana mishahara ktk sekta Kama hizo Bali angalia fursa unazoweza kupataWahandisi wengi wako vizuri sana financially kuliko madakitari wakat salary scale ya dakitar iko juu
FactNi kazi za nje ndo zinawapa hela, mfano wewe Ni mhandisi pale TBA MSHAHARA wao Ni Kama wa halmashauri Ila Kuna kazi za nje unapata kutokana na kufahamika. So usiangalie sana mishahara ktk sekta Kama hizo Bali angalia fursa unazoweza kupata
Mwalimu 716,000
Mwanasheria 950,000
Muuguzi 980,000
Mfamasia 980,000
Daktari 1,480,000
Mhandisi 950,000
Mhasibu 950,000 ukiwa na CPA,,ila ukiwa na degree ni 710,000
Ndo hivyo: MSHAHARA haujawahi kutoshaFact