Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 3,088
- 4,094
Daah poleni aisee kwani kwa sasa take home ni ngapi? Baada ya ile nyongeza ya mwaka jana?Kwakweli walimu tunalipwa punje sana.
Sasa 716,000 wakipitisha mapanga inabakia pungufu ya 600!
Hapa ni kupambana na vibiashara tu,
Kazi iendelee.


ndo nin mkuu
??