Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Jamani si nasikia vilipigwa marufuku hivi vitabu? eti vinafundisha ujambazi?sasa Kaizer unavitakia vya nini?wakuu naombeni msaada wenu kama kuna anayejua ninakoweza kupata hivi vitabu ya Elvis Musiba, vikiwa na stellingi Willy Gamba.
Vitabu hivyo ni kama vile:
1.Kikosi cha Kisasi
2.Kufa na Kupona
3.Hofu.
4.Njama
5.Uchu
na vinginevyo. nimevisoma baadhi zamani lakini sasa hivi sina nakala tena ningependa kujua ninakoweza kuvipata.
shukrani!