Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hahaaaaaa...Ngosha una mambo wewe,namaanisha maji yale ya Wachina kutoka Ziwa VictoriaTeh teh unamaana yale maji ya wakubwa? ama ya baraka?
Hahaaaaaa...Ngosha una mambo wewe,namaanisha maji yale ya Wachina kutoka Ziwa VictoriaTeh teh unamaana yale maji ya wakubwa? ama ya baraka?
Hahaaaaaa...Ngosha una mambo wewe,namaanisha maji yale ya Wachina kutoka Ziwa Victoria
Hapo nimekusoma ...maana maji ya watu wazima ni larger na maji ya uzima/baraka ni yale ya kwenye squirting! teh teh teh teh
Masa. Mdila bwana, ulimolah,
Mchezo wa kukojolea maua acha mzee😀Yaani pamoja na kudundwa mpira bado unaendelea tu?????? Bwahahahahahahah
Elvis Musiba alikuwa mwandishi mzuri wa vitabu vya riwaya...sijui kwanini ameacha hiyo kazi. Kama kuna mtu amewahi kusoma vitabu vya James Hadley Chaseatakubaliana nami uandishi wake unashabihiana sana na wa Musiba, watu wanawasi wasi huenda mzee Musiba alikuwa anafanya tafasiri ya baadhi ya kazi za Chase kwenda kiswahili na mazingira ya kitazania na kuongezea vikolombwezo vya majina ya kibantu. Nimesoma almost vitabu vyote vya Musiba na baadhi ya kazi za James Hadley Chase kama
The Sucker Punch
A Coffin From Hong Kong
Tell It To The Birds
Knock, Knock! Who's There?
A Can Of Worms
na You never know with women
Nashawishika huenda bwana Musiba alikuwa anasoma novel hizi pia na kuzitafasiri......
Pamoja na mtizamo wangu huo bado anabakia mwandishi mzuri wa riwaya aliyewahi tokea Tanzania
Sawa kabisa mkuu..kuna hizi pia:
No business of Mine
I will get you for This
Hand me a Fig Leaf na
Have this one on Me
Umenikumbusha mbali sana muzee...
Hahahah maisha bwana nakumbuka nikiwa A level unapiga kaptura yako na kitabu cha James Hadley Chase Mfuko wa nyuma, unaenda somesha demu wa Jangwani sekondari....unakariri na vimstari vichache vya kwenye novel ....mpaka somo laeleweka!
Yes Masa, JH Chase alikuwa ana vijimaneno flani flani vya kufurahisha sana!
My favourite novels were:
Hit and Run
An Ace up my Sleeve
Just a Matter of Time
Tiger by the Tail and
This Way for a Shroud (Vito Ferrari...)
Nilikuwa Dar last montn naona wameanza ku reprint vitabu vya huyu bwana mkubwa
Hata akama Musiba alikuwa anacopy, bado amefanya kazi kubwa!
Teh teh mzee wa Walwa,Inyama na n.oHahahaha umenikumbusha Hit and Run ile novel nilimwagiza uncle wangu alipata ka seminar UK akaniuliza mpwa nikuletee nini? Nikamwambia Novel ya Hit and Run, maana siku zile hakukuwa na mobile wala walkman ambayo ningemwomba aje nayo. Aliniletea hiyo novel nilitesa nayo sana na mashori......
Baada ya kusoma Uchu ambacho amekiandika 2000 nimeondokana na dhana kuwa Musiba/Gamba alikuwa anagandamizia/desa. Kitabu hicho kimetafitiwa kwa kina maana kiko katika muktadha wa mauaji wa halaiki ya Rwanda hivyo ni rahisi kulinganisha matukio ya humo na matukio halisi ya kihistoria.
Kwa ujumla hakuna mwandishi ambaye ni 'orijino' 100%, kila mmoja anaazima kitu fulani kutoka sehemu fulani. Kilicho cha muhimu ni umahiri wa mwandishi - kwa mfano Uchu inaanza na mazungumzo kati ya Gamba na Bosi wake ambao wote wamestaafu, Bosi anamwambia inabidi urudi ulingoni kama George Foreman. Gamba anakataa. Bosi anamwambia kama ni hivyo basi inabidi yeye Bosi aingie ulingoni. Inabidi Gamba akubali kazi maana Bosi ni mzee kupita kiasi hivyo itakuwa aibu kwake kuiachia kazi hiyo ifanywe na Bosi. Sasa hapo utaona kuwa mfano wa Foreman kurudi ulingoni ambalo lilikuwa ni tukio la kweli ulivyotumika kuleta utamu kwenye riwaya hiyo ya Uchu.
Ubunifu ni uwezo wa kuboresha kilichopo.
Unfortunately sipo zanzibar muda mrefu sasa, lakini kama unavitaka kweli Masomo Bookshop, Darajani ni pahala pa uhakika zaidi, unaweza kuwasiliana na Farouk Karim mwenyewe anakuwepo dukani hapo, au unaweza kupata kontakti zake katika Ofisi yoyote ya ITV/Redio One, Dsm hapo,(yye ni mwandishi wa habari wa vituo hivyo), au mwandishi yeyote wa vituo hivyo anaweza akakupatia kontakti zake.Kama utaweza kufika zanzibar, ukifika soko kuu la Darajani, ukimuuliza mtu yeyote wapi Masomo Bookshop kwa Farouk Karim atakupeleka wala si mbali kutoka sokoni.
Baada ya kusoma Uchu ambacho amekiandika 2000 nimeondokana na dhana kuwa Musiba/Gamba alikuwa anagandamizia/desa. Kitabu hicho kimetafitiwa kwa kina maana kiko katika muktadha wa mauaji wa halaiki ya Rwanda hivyo ni rahisi kulinganisha matukio ya humo na matukio halisi ya kihistoria.
Kwa ujumla hakuna mwandishi ambaye ni 'orijino' 100%, kila mmoja anaazima kitu fulani kutoka sehemu fulani. Kilicho cha muhimu ni umahiri wa mwandishi - kwa mfano Uchu inaanza na mazungumzo kati ya Gamba na Bosi wake ambao wote wamestaafu, Bosi anamwambia inabidi urudi ulingoni kama George Foreman. Gamba anakataa. Bosi anamwambia kama ni hivyo basi inabidi yeye Bosi aingie ulingoni. Inabidi Gamba akubali kazi maana Bosi ni mzee kupita kiasi hivyo itakuwa aibu kwake kuiachia kazi hiyo ifanywe na Bosi. Sasa hapo utaona kuwa mfano wa Foreman kurudi ulingoni ambalo lilikuwa ni tukio la kweli ulivyotumika kuleta utamu kwenye riwaya hiyo ya Uchu.
Ubunifu ni uwezo wa kuboresha kilichopo.
Mkuu umefanya vizuri kuelezea hili maana wabongo!!
Mimi pia nimesoma kitabu cha UCHU nikiwa na umri mkubwa tofauti na vile vya zamani nilipokuwa mdogo nilikuwa nafurahia zaidi undava wa wahusika, lakini kwenye UCHU nimegundua kuwa mtunzi yule alikuwa hakurupiki kutunga, Uchu ni riwaya inayoonyesha kuwa utafiti wa kina ulifanywa kabla ya kaundika na upeo mkubwa alionao mtunzi, kama hujasoma kitabu hiki soma sasa utaniambia.
Asante mkuu, ntafuatilia. Kumbe wewe ni mtu mwema hivi??!!
Mimi wakuu natafuta vitabu vya Juma na Roza kwa ajili ya mwanangu, nilivipenda sana enzi hizo! naweza vipata wapi?
Ila nilisikitika sana kuzuiwa kie kitabu chake cha UHAINI.
Jamani vitabu hivi ndivyo vilivyonifanya mimi mwenzenu nikawa ni mpenzi wa picha, novels e.t.c. za kidetective........
enzi hizo nilikuwaga nafantasize Willy Gamba duh!! acheni tu
Hasa nlipokuwa nasoma Hofu mambo ya Nyaso mtoto wa Arusha
Na Willy alivyokuwa akijua kujifagilia ah!!