Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Mzee Musiba alishafariki jamani.
Hakika vitabu vyake vilitufunza ujasiri na udadisi wa hali ya juu zaidi ya yote kujiamini.
Nakumbuka nilianza kuvisoma nikiwa darasa la 6 mwishoni mwa miaka ya 80. Ilikuwa ukipewa kazi wakati kitabu unacho mkononi ni ugomvi mkubwa sana maana hutamani ukiache. Nashukuru nilibahatika kusoma vyote.
Upatikanaji wa vitabu hivyo kwa sasa ni mgumu mno,nimejaribu kuvitafuta sana kwa location nilipo but sijafanikiwa.
Tutaendelea kujulishana namna ya kuvipata.
Hakika vitabu vyake vilitufunza ujasiri na udadisi wa hali ya juu zaidi ya yote kujiamini.
Nakumbuka nilianza kuvisoma nikiwa darasa la 6 mwishoni mwa miaka ya 80. Ilikuwa ukipewa kazi wakati kitabu unacho mkononi ni ugomvi mkubwa sana maana hutamani ukiache. Nashukuru nilibahatika kusoma vyote.
Upatikanaji wa vitabu hivyo kwa sasa ni mgumu mno,nimejaribu kuvitafuta sana kwa location nilipo but sijafanikiwa.
Tutaendelea kujulishana namna ya kuvipata.