Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Huwezi kupewa kidono kama huna kinkuti.hizi dawa huenda sambamba lakini ni za wakongomani(wabembe)
Kinkuti ni dawa iliyokuwa zamani sana ila kuanzia miaka ya sabini 70's ilianza kupotea na kubaki kidono pekee,hivyo uliweza kupewa kidono bila kinkuti na kwenye miaka ya hivi karibuni hata hicho kidono kwa kweli hakipo labda uvuke maji lakna si kwa huu mwambao wa hapa kwetu
 
We msenge inabidi siku moja ukutanishwe na nguli wa shughuli tu akuchukue maelezo kisha ndani ya week tu akubadilishie program za kwenye ubongo uanze kucheza na majalala tu!
Hahahah huyu hajakutana na makonki

Anajaribu tu kuushawishi ubongo wake

Ila moyoni anajua hizi mambo ni hatari
 
Kwahiyo wachawi wanaweza kila kitu isipokua kupata details na nywele za mtu?

Enyi mitanganyika mnakuaje mazwazwa kiasi cha kuhadaika kirahisi hivi.
Taja majina ysko matatu na ya mama yako mzazi watu wamalize mambo

We si unajifanya konki
 
WAROMBO NI WACHAWI BALAA
 
Stori za kitaani. Na wengi wanaozianzishaga wanakuwa wagonjwa wa akili. Ukiwa mgonjwa wa akili kuna vitu unakuwa unaona au unahisi. Baadaye unaanza kusema ni uchawi. Huo mnaita uchawi ni mawenge yenu tu.
@Red Giant uchawi upo ,hayajakukuta tu
 
@Bufa uchawi upo hayajakukuta tu!!!
 
Nasikia eti hata yule jamaa aliyemnyang'anya Zito kabwe Jimbo lake pia tangu uchaguzi wa dhuruma uishe hajawahi kukanyaga bungeni ni mgonjwa mpaka leo tafadhali Kama kuna mtu anajua ukweli wa hii kitu atujuze
 
Nasikia eti hata yule jamaa aliyemnyang'anya Zito kabwe Jimbo lake pia tangu uchaguzi wa dhuruma uishe hajawahi kukanyaga bungeni ni mgonjwa mpaka leo tafadhali Kama kuna mtu anajua ukweli wa hii kitu atujuze
urongo tu kirumbe ng'enda yupo mzima wa afya na bungeni alichangia kumhusu gwajima
 
Au, tukimchukua babu wa babu wa babu wa babu yako aliyezaliwa miaka zaidi ya 140 iliyopita, ukamleta leo aone watu wanavyowasiliana kwa simu, ataona kama uchawi, wakati si uchawi, ni teknolojia tu ambayo hajaijua.

Kiranga nilikuwa sijawahi kushiriki mazishi ambayo baada ya miezi miwili marehemu akatolewa na waganga dukani kwa Kaka yake .KUMBE NI TEKNOLOJIA TU AMBAYO SIJAIJUA nilidhani ni uchawi.
 
Kalya huko siwezi pata kinkuti
 
Kalya huko siwezi pata kinkuti
Kuanzia hiyo Kalya mpaka Kapalamsenga ni ngumu kuipata,miaka ya 2000 mwanzoni nilisikia labda maeneo ya Mwese ila napo ni kubahatisha
Shida kuu ni miiko yake inakinzana sana na hii modern Life hivyo kufanya hata waganga waogope kuitoa
 
Kiongozi hiyo kanda uliyoisema ina mengi ya kuogofya,kustaajabisha na kutafakarisha sana na kwa upande wangu mtu anapotokea kupingana na hayo ma miziziology huwa namsikiliza na kumsoma tuu kikubwa huwa natamani ningeishi na kukulia ktk hiyo jamii yake isiyokuwa na haya mazingaombwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…