Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,942
ukimzingua akiwa amelewa alikuwa anakumbuka baadae?nai amewahi kuwa na babu mtata huku? Namaanisha yule mzee akilewa akirudi home anakuwa mtu wa vita vita hasikii wala haelewi jambo
babu yangu alikuwa mtata sana. Hasa wazee waliosoma enzi za ukoloni wakilewa wanaubishi sana