Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Kaanza kula pombe juzi huyo mm nimeanza darasa la pili...nilikuwa naiba pombe za dingi hme nakunywa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa iyo kamanda mpaka leo bado unatafuna gambe
 
Yeah hapa namalizia chupa ya mwisho nikalale..
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] umetisha kamanda, mimi nakumbuka kuna bibi alikuwa anatunywesha gongo sana enzi za utoto lakini kwa sasa sigusi kabisa gambe
 
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] umetisha kamanda, mimi nakumbuka kuna bibi alikuwa anatunywesha gongo sana enzi za utoto lakini kwa sasa sigusi kabisa gambe
Kwanini mkuu?
 
Siku ingine nilifakamia sana pombe mchanganyiko nilikuwa na binamu yangu wakati tunaondoka tupo ndani ya daladala mimi tu ndo nilikuwa muongeaji watu wote vicheko. Tuliposhuka nikawa naenda njia ambayo sio binamu yangu akaniita.

Tulipofika nyumbani nikasema ngoja nikanywe ya mwisho wakati narudi nikapotea tena nyumbani nikashtuka kuwa nimepotea nyumba baada ya kuona sifunguliwi mlango.

Mkuu umenikumbusha mbali sana, nilipata mkasa wa hatari ulikaribia kunitoa roho ni Mungu alisaidia tu. Nilitoka Ghent (belgium) nikaenda kumcheki mshikaji wangu alikuwa anasoma Rotterdam (Uholanzi).

Akanipeleka kwa hotel moja iko baharini kabisa zamani ilikuwa ni meli ikabadilishwa kuwa hotel.

Tulikunywa pombe kali siku nzima, jioni nikarudi Ghent niko chakali, nimefika nikaingia tena club kuendeleza gambe, natoka kwenda kwangu nikapotea njia nikagonga nyumba ya watu mzee wa kizungu anafungua bunduki mkononi, kuniona sijiwezi akawapigia polisi nikalala kituoni asubuhi naamka napewa kahawa na usafiri kupelekwa ninapoishi.

Niko bongo naendeleza K-vant tu, pombe siachi.
 
Jamaa umenikumbusha mbali matukio ni mengi ila moja ni hili:
Wakati nikiwa chuo mwaka wa mwisho tulikuwa tunafanya vikao vya tungi ,kama kawaida faru john mtu nne ila nilikua nachelewa kulewa tofauti na wenzangu kwa bahati mbaya Siku iyo nlikula slace mbili za mkate ,nikakaza kibingwa Hamna kutegeana nakumbuka tulikunywa konyagi nyingi sana baadae tukasepa kila mtu kivyake njiani nikanunua chips+mishkaki ili nikalie geto kufika geto nikaanza kukata moto kiasi kwamba nilishindwa kuingiza funguo kwenye tundu la kofuli nikajisogeza pembeni Luna tofali nkakaa cha ajabu ambacho kilinishangaza alikuja mbwa sijui wa wapi akaninyang'anya mfuko wenye kiepe na mishkaki nilishindwa hata kumwambia shhh toka maana mdomo haufunguki,nikaamua kujilaza palepale hadi asubui..nikajifunza pombe bila msosi noma pia niligundua ukinywa nyagi na glass macho yanakufa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbwa akapita na msosi.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kali yangu moja ya tungi nipo bar na friends kula sana tungi hata siku mbuki idadi ya chupa mida ya kama saa saba ucku nikarudi zangu home fresh nacho kumbuka nilifungua geti fresh nika ingiza gari vizuri tu kumbe bhana nilipo fika nili park siku funga mlango wa gari na nika iacha ipo silence siku izima hii nilikuja kuambiwa asubuh...
Mbaya kuliko nika ingia ndani moja kwa moja mpaka kwenye chumba cha dada wa kazi nika lala naskia eti dada wa kazi kuona nime vamia chumba akaenda kulala sitting room ila wife hakuelewa kabisa ilo somo maana nakuja kushtuka asubuhi nipo chumba cha dada wa kazi ila baadae atakua ali elewa tu maana nili rudisha chenji kwenye shuka za dada wa kazi akajua huyu jamaa atakuwa alizidiwa na tungi .... ila ilinichukua siku nzima kumuelewesha ilo jambo.
Vyumba vyote, ila pombe ikakudirect kwa beki 3?[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuutwika kwenye sherehe ya kazini nilimtongoza mama mmoja mwenye cheo chake, nae akawa anacheka tu. Mimi ndio nazidi kumpa maneno mbele ya watu. Party iliisha kila mtu akaenda zake. Jumaatatu yule mama akaniita na kuniambia Ni mwambie yale maneno niliyo muambia siku ya party halafu alikua serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sitaki kuamini uliogopa kuu

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 2009 nilikwenda Tabora kikazi,sasa kwenye ofisi ya mo ule kuna jamaa akatokea kunizoea nikamuomba jioni anizungush zungushe kuifahamu mitaa,jioni ilivyofika akanipigia simu tukakutana na kuanza kupiga misele,nikamuuliza baa gani imechangamka akanipeleka kipindi hicho napiga sna mitungi sasa hivi nimeacha,kufika nikaagiza kilimanjaro yeye akaagiza konyagi basi piga vyombo sana tu.Ghafla mshikaji akaanza kulia bwana,lia vibaya mno nikapata kazi ya kuanza kubembeleza mtu mzima na mindevu yake anacholia sikijui na hadi leo sifahamu alikumbuka nini.
Labda ulimsababishia gharama kubwa alikuwa anasikitika kwa pesa aliyoitoa.
 
sana sijui kwanini watu wanapenda beerYesu kristo akusamehe[emoji23][emoji23][emoji23]watu wanasema Serengeti haina, lakini mi naona zote zinayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂hiyo ulitisha sana mzee au ilikuwa mnazi? maana ule unaongezaga mchecheto sana
 
Mhudumu leta kama tulivyo[emoji482][emoji3061]
 
Nakumbuka tukiwa chuo mshkaji wangu akaniambia tukastue akili kijijini ,tukapiga mbege chubuku mbili+konyagi kubwa sasa tukawa tumeishiwa ikabidi tuwe tunapiga debe watu waingie kwenye hice, gari ikajaa tukamzidi konda akili akatulia kama abiria wengine huku sisi tumedandia mlangoni tunazinguana na mshkaji wangu watu kwenye gari nikucheka tuu ,tukafika tunaposhuka tukaondoka konda anaseme nyie wahuni nyie nlijua tuu Hamna nauli,hapo tunalekea kwa jamaa wa masters alituambia tukachinje mbuzi kufika tukalianzisha tungi tena tukachinja tukachoma nikakomaa nikachkua kichwa cha mbuzi nkasepa nacho hiyo ni mida ya saa tano usiku geto ni mbali kidogo kuulizia bodaboda ni elfu 7,nikaona ujinga huu bora niende mdogomdogo huwezi amini nilifika mahali nikasikia mbwa wanabweka mbaya kabisa kugeuka nyuma mbwa kama mia hivi wanataka ile kichwa ya mbuzi mbaya zaidi hamna hata jabali ikabidi nivurumishe ile kichwa chini vumbi likatimka nkaona mbwa wanakimbia na Mimi nikawatolea uchovu nikaanza kuwatimua hapo fungi limekata kufika homu mikono imechubuka kesho yake nkamwambia dogo kuna kichwa ya ndafu kwenye mfuko set supu dogo ananiambia umekiokota wapi mbona kina vumbi hivi kweli kucheki utafkiri mzoga ikabidi kiundwe Kibishi ,baada yakumweleza kilichonisibu......ila kuacha siwezi huwa nainjoi haya matukio sana
😂😂😂😂 umejua kunichekesha mkuu,khaa😂😂
 
Nakumbuka tukiwa chuo mshkaji wangu akaniambia tukastue akili kijijini ,tukapiga mbege chubuku mbili+konyagi kubwa sasa tukawa tumeishiwa ikabidi tuwe tunapiga debe watu waingie kwenye hice, gari ikajaa tukamzidi konda akili akatulia kama abiria wengine huku sisi tumedandia mlangoni tunazinguana na mshkaji wangu watu kwenye gari nikucheka tuu ,tukafika tunaposhuka tukaondoka konda anaseme nyie wahuni nyie nlijua tuu Hamna nauli,hapo tunalekea kwa jamaa wa masters alituambia tukachinje mbuzi kufika tukalianzisha tungi tena tukachinja tukachoma nikakomaa nikachkua kichwa cha mbuzi nkasepa nacho hiyo ni mida ya saa tano usiku geto ni mbali kidogo kuulizia bodaboda ni elfu 7,nikaona ujinga huu bora niende mdogomdogo huwezi amini nilifika mahali nikasikia mbwa wanabweka mbaya kabisa kugeuka nyuma mbwa kama mia hivi wanataka ile kichwa ya mbuzi mbaya zaidi hamna hata jabali ikabidi nivurumishe ile kichwa chini vumbi likatimka nkaona mbwa wanakimbia na Mimi nikawatolea uchovu nikaanza kuwatimua hapo fungi limekata kufika homu mikono imechubuka kesho yake nkamwambia dogo kuna kichwa ya ndafu kwenye mfuko set supu dogo ananiambia umekiokota wapi mbona kina vumbi hivi kweli kucheki utafkiri mzoga ikabidi kiundwe Kibishi ,baada yakumweleza kilichonisibu......ila kuacha siwezi huwa nainjoi haya matukio sana
asee n mecheka sana hahahahaa
 
Back
Top Bottom