Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Visa gani pombe ilikufanyia hutasahau?

Mkuu hamna pombe haina hangover, may be tuseme hangover zinatofautiana kwa pombe na pombe. Ya safari itakuwa kali zaidi ya lite. Hata whisky zile expensive hangover yake siyo kali kama whisky za bei rahisi. Lakini uhimili wa mwili nao unaplay part yake.
whisky expensive hazina hangover? ntajaribu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwezi wa saba mwaka huu nilikua na boss wangu kikazi huko bariadi ,boss yeye mzee wa k vant sana..si nikajidai na mimi naimudu k vant.. nikapiga zile chupa ndogo mbili za fasta..ebana..niliona kama dunia iko upside down..mpaka leo k vant naziogopa.
Mwamba kiwango kidogo ha ha ha K vant ndogo mbili inatakiwa unamaliza afu unasikia baaado kabisa
 
Kipindi Niko chuo kikuu Cha Dar es Salaam miaka Ile. Tulikua tunakwenda kunywa wanzuki au mbege maeneo ya Riverside. Siku hiyo tulipata boom vzr Basi tukaona tukapate mbili tatu. Tukafika pale zilipo hostel za mabibo enzi hizo hazijajengwa kulikua na vibanda vya pombe za ovyo. Tukaanza kugida wanzuki. Wenzangu wakachoka wakaniacha na li barmeid Fulani umri umesogea. Kufika saa nne hivi nikaanza kuliona Ni beautiful Fulani. Basi nikalikokota Hadi hall one tower block kwa wale mliopitia shule za ukweli. Tukapanda mpaka kwa room na kufanya majambooz. Asubuhi naamka kwenda kukojoa nikaona ndala za yule mmama zilikua zimetoboka pale anapokanyagia na zimekarabatiwa na waya. Kumcheki kichwani ametia Ile kalkit ya muonekano Kama nywele zimetiwa maji au mafuta mengi. Kumbuka wanafunzi wameshaanza kukaa pale chini karibu na ofisi ya hall manager, wengine wanapiga stori wakitokea kafeteria kupata chai. Mimi Niko juu gorofani na msukule wangu unao dai lazima nimpeleke kituo Cha Basi. Madem wa chuo nao wapo pale stendi wanasubiri daladala. Mimi bado Nina msukule wangu anadai anataka kuwahi kutengeneza pombe mabibo. Aloo.
Nilimlaumu shetani na kazi zake zote. Nitampitishaje yule msukule mbele ya ma brazamen?
Natamani uniambie what next?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mm Nina visa vingi sana sijui nianze kipi lakini cha ajabu hadi leo sijaacha ingawaje nimepunguza
hua nashangaa sana mtu akiacha, yaani like unaacha pombe, halafu utakunywa nn!??.. shusha matukio hayo mkuu
 
Opera Snapshot_2020-10-05_203626_www.bbc.com.png
 
Kipindi Niko chuo kikuu Cha Dar es Salaam miaka Ile. Tulikua tunakwenda kunywa wanzuki au mbege maeneo ya Riverside. Siku hiyo tulipata boom vzr Basi tukaona tukapate mbili tatu. Tukafika pale zilipo hostel za mabibo enzi hizo hazijajengwa kulikua na vibanda vya pombe za ovyo. Tukaanza kugida wanzuki...
Hahahahhaa ikawaje?
 
Back
Top Bottom