fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,915
- 24,585
Muda utafika sweetheart. Sio muda wa shinikizo la daktari baada ya kuwa na health complications hapana.😊Acha kabisa mkuu pombe si chai
Muda utafika sweetheart. Sio muda wa shinikizo la daktari baada ya kuwa na health complications hapana.😊Acha kabisa mkuu pombe si chai
Siku ambayo sinto sahau ni pale tulipo peleka mahari ukweni..ebwanae si wakaleta kitu cha SBL mwanzoni ilianza vzr lkn ilipo fika hatua watu tukaanza kunena kwa lugha,,kama mjuavyo hikitu ikiishaingia na lazima iambatane na aja ndogo Yan hapo utake usitake ni lazima,basi bwana kwa kua tulikua ndan kwa mama mkwe me si nkatoka kwenda kumwaga maji..kumbe badala ya kutoka nje mwenzenu nkaingia moja kwa moja hadi chumbani pale pale nka mwaga radhi chwaaaa..kwa kujiachia nkadhani npo nje,,,,,kibaya zaidi sikufunga hata zpu kengele ikawa inajigonga narudi sebuleni[emoji24]pombe so maji.Binafsi nakunywa pombe mara mojamoja, naweza kupitisha mwezi sijanywa ila nikinywa huwa nalipiza siku ambazo sikunywa kabisa. Hii imenikuta wiki chache zilizopita tulikuwa na event na marafiki tunaotoka sehemu moja, kwenye pombe mbuzi anahusika nilisimamia kitengo...
Hakika jamaa ameandika point.Mkuu ngoja niwe natafuta kakinywaji kangu niwe nakunywa nifasiliteti digestion maana umeongea pointi sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
. Wamalaw washenz sana walileta pombe flan INAitwa moa wa mafumu kama power vlee ...iliua vjana wengUnamaanisha power no.1 mkuu? vikiuzwa sh 100 per sachet?baadaye 150....nilikua na age 12 nilipoanza rasmi hii kitu gambe...kifupi kwenye family haikua kesi ni kama tamaduni tu.
Ilikuwa na alcohol ngapi hiyo?. Wamalaw washenz sana walileta pombe flan INAitwa moa wa mafumu kama power vlee ...iliua vjana weng
Kha!kha!kha!,wewe ulitia fora.Eenhh!!!,nini kilifuata baada ya hapo?Siku ambayo sinto sahau ni pale tulipo peleka mahari ukweni..ebwanae si wakaleta kitu cha SBL mwanzoni ilianza vzr lkn ilipo fika hatua watu tukaanza kunena kwa lugha,,kama mjuavyo hikitu ikiishaingia na lazima iambatane na aja ndogo Yan hapo utake usitake ni lazima,basi bwana kwa kua tulikua ndan kwa mama mkwe me si nkatoka kwenda kumwaga maji..kumbe badala ya kutoka nje mwenzenu nkaingia moja kwa moja hadi chumbani pale pale nka mwaga radhi chwaaaa..kwa kujiachia nkadhani npo nje,,,,,kibaya zaidi sikufunga hata zpu kengele ikawa inajigonga narudi sebuleni[emoji24]pombe so maji.
Pombe sio Chai[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji848]View attachment 1579465
Watu tulitaftana kwa tochi maana aibu ya hpo!!Kha!kha!kha!,wewe ulitia fora.Eenhh!!!,nini kilifuata baada ya hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi,
Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto.
Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi.
Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi.
Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu.
Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliuzia msala jamaa zangu walionipeleka home nikiwa nimelewa chakari, kwa kuzuga nilimwambia bibi yangu, "hawa jamaa wakupe bia zako 10, nimewapa wanisaidie kubeba" [emoji28] bibi mwenyewe mchaga huko marangu, beef kati yao lilichukua mda sana kupoa bibi aliwaona ma snitch wamekunywa bia zake
Dah!!!,yaani sipati picha.Watu tulitaftana kwa tochi maana aibu ya hpo!!
hyo ilkua na 45% mkuuIlikuwa na alcohol ngapi hiyo?
Wewe ni mpumbavu namba mojaMwaka 2008, Nilikuwa Mbeya Tukuyu Kikazi, Nilikuwa nimetokea Mbeya Mjini ambapo Kuna baridi, Dose yangu ilikuwa Tusker Kumi,
Kwenda Tukuyu Nikaendelea na dose ileile bila kugundua kuwa Hali ya hewa ya Tukuyu Ni Tofauti na Mbeya Mjini. Na Pombe. Hukolea kwenye Joto, Tukuyu Kuna Joto.
Mzee Mzima Nikavesha Kama kawaida, mpaka saa tano FULANI hivi, Sasa kimbembe Nikasahau Guest, Nikaenda kugonga Nyumba ambayo Inaangaliana na Guest Huku Povu likinitoka kwanini wafunge na Mimi bado sijarudi.
Ebwana mlango ulifunguliwa na Mbaba mmoja akiwa na njemba tatu (Watoto wake) Nilichezea vitasa vyakutosha kila nikiweka Gurd wapi.
Niliokolewa na Staff wenzangu Baada ya kuhisi kuwa sijarudi na wanasikia kelele za sauti yangu.
Asee hiyo ilikuwa moja Ila Pombe kuacha bado nafikiria.
Hakuna aliyewahi kulewa akaliwa tigo humu!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikiwa 2002-2006hahaha mwaka gani mzee ? 2006 nimekipiga hapo.Nimekunywa sana ulanzi enzi hizo 😂 😂
2002-2006mkuu mwaka gani huo
All the bestMuda utafika sweetheart. Sio muda wa shinikizo la daktari baada ya kuwa na health complications hapana.[emoji4]