BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,768
- 288,330
Kwani ile mali ni nani mpaka isiwahusu Watanzania kujua kipi kinachoendelea? Hakuna mazungumzo ya mwaka Wazungu wanathamini muda wao hawawezi kukubali ujinga wa kujadili kwa mwaka mzima.
Inakuhusu nini?au ni huo umbea mbea wenu mshazoea, ili mpate kuweza kuandika andika upuuzi huku hata mwk mzima waacheni wakae
Sent using Jamii Forums mobile app