Vipi update za mazungumzo na Accacia

Vipi update za mazungumzo na Accacia

Hapa serikali ya TZ ishapigwa bao. Ni yale yale ya samaki ya wachina. Mwisho wa siku utasikia tunadaiwa na Barick.

Mzee wa hasara kazini, mpaka kipindi chake kiishe taifa litakuwa lina madeni mengi sana.
Ifike muda awajibike yy, si anapokea mshahara. Awalipe kwa mshahara wake ili siku nyingine awe ana akili.
 
H
Kwa CV za wale jamaa wa barick sio watu wakupoteza mwez mzima kujadili makinikia! Barick ina oparate maeneo mengi duniani, hawawez kuacha kazi zao wabakie na makanikia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushasema CV zao ziko vizuri maana take hawabebi zege so siyo lazima wawe Canada ndo wafanye shughuli zao hata wakikaa mwaka mzima hapa kazi zao zitaenda vizuri tu, laptop wanazo so wanaweza kufanya kazi zao popote.
 
Kuna tetesi zinasema hakuna tena mazungumzo, kilichofanyika ni serikali ya Tanzania kupitia Profesa Kabudi kupokea Proposal za Acacia(Barrick) na kuzipeleka mezani kwa Sizonje, na kisha Acacia(Barrick) wakaambiwa wakae kimya, wasubiri Siku Sizonje aje kufunguka.

Kwa hiyo mpaka sasa hakieleweki na hakijulikani kitaeleweka lini.
 
Ni takribani mwezi mzima tangu barick na serikali waanze mazungumzo, ndani mwezi huu wote serikali ipo haisemi kinachoendelea kwenye mazungumzo.
Swali la kujiuliza mazungumzo gani hayo yanafanywa mwezi mzima, hivi kweli wale jamaa wa Barrick hawana kazi za kufanya wakae mwezi mzima kujadili makinikia.

Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.


Kweli uchawi upo wa aina nyingi!!!.
 
Ni takribani mwezi mzima tangu barick na serikali waanze mazungumzo, ndani mwezi huu wote serikali ipo haisemi kinachoendelea kwenye mazungumzo.
Swali la kujiuliza mazungumzo gani hayo yanafanywa mwezi mzima, hivi kweli wale jamaa wa Barrick hawana kazi za kufanya wakae mwezi mzima kujadili makinikia.

Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.
Huna unachokijua, wewe endelea kufua nguo za EL baada ya kula matapishi.
 
Barrick hawakuwa wemepewa zile report 2 kabla ya haya mazungumzo. Bila shaka walidemand wapewe na wazipitie kwanza, neno kwa neno. Na kama hilo lilitokea, then janja yetu ya kutaka kuwaambush itakuwa imefail
 
Barrick hawakuwa wemepewa zile report 2 kabla ya haya mazungumzo. Bila shaka walidemand wapewe na wazipitie kwanza, neno kwa neno. Na kama hilo lilitokea, then janja yetu ya kutaka kuwaambush itakuwa imefail
Na ni lazima walizidai tu na watu wa kuzitolea majibu hawawezi kuwa Barrick bali ni Acacia wenyewe na Acacia walishazipinga hizo ripoti tangu mwanzo na kusema findings za kamati zote mbili hazina ukweli wowote.
 
Inakuhusu nini?au ni huo umbea mbea wenu mshazoea, ili mpate kuweza kuandika andika upuuzi huku hata mwk mzima waacheni wakae

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlipotutangazia zilikuwa zinatuhusu nini?

Inawezekana mkawalipa hata fidia kimyakimya ili kuficha aibu vinginevyo waelezeni ukweli watanzania (walipa kodi) wa kile kilichotokea na mkishindwa kuwaeleza tutaamini mmeshindwa na huenda sisi ndio sasa tunawalipa kwa kuwatia hasara.
 
Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.
Hayo ni matamanio yako na hayatofanikiwa.
Kwa nini unaitaka serikali ikueleze kama imeshindwa badala ya kuwataka Barrick waeleze wameshinda?
ACACIA walikua wanatoa updates zao kwa mbwembwe muulize mkuu Salary Slip wameishia wapi.
Kama ulidhani kuwa lile deni lilikuwa ni la uongo umejidanganya sana,facts zimewekwa mezani wanatakiwa wajikaange wenyewe
 
Hayo ni matamanio yako na hayatofanikiwa.
Kwa nini unaitaka serikali ikueleze kama imeshindwa badala ya kuwataka Barrick waeleze wameshinda?
ACACIA walikua wanatoa updates zao kwa mbwembwe muulize mkuu Salary Slip wameishia wapi.
Kama ulidhani kuwa lile deni lilikuwa ni la uongo umejidanganya sana,facts zimewekwa mezani wanatakiwa wajikaange wenyewe
Mnavyopenda sifa saa hizi mngekuwa mmeshaitisha press conference huku tv zote zikiwa live kutangaza ushindi.

Kama kweli mazungumzo yanaendelea itajulikana na kama yameisha pia itajulikana na nani kachemka pia itajulikana tu hata kama sio leo wala kesho.

Uzuri ni kwamba Acacia wanawajibika kwa wana hisa wao hivyo ni lazima wawape taarifa.
 
Uzuri acacia lazima waseme ukweli maana wanahisa lazima wajue hatma ya pesa zao.....siri itakuwa hadharani soon acha wafanye siri tu ila itajulikana!!!!
 
Wanna jf, naomba tuwe wavumilivu ktk hili. Serikali yet imeshasema ikitokea rais kafanya kosa hiyo inakuwa ni siri.Hivyo UKiona kimya jua kimeshanuka na ni siri.Hivyo tuwe wavumilivu mpaka hapo kamanda mpambanaji asiyetishwa Tundu Antipas Lissu anakapoitisha press na kutueleza ukweli Wa kipigo tulicho kipata.Kwa sasa naamini kamanda huyu yuko chimbo akiweka takwimu sawa ili akiibuka nchi isimame kwa mwaka mzima
 
Back
Top Bottom