Vipi update za mazungumzo na Accacia

Vipi update za mazungumzo na Accacia

Ajabu hatujui hata wawakilishi wetu ni akina nani
 
Akili inaniambia hata kama Accacia/Barrick wakikubali kulipa haitatangazwa hadharani kama wamekubali walikosea na wamelipa kiasi gani. Hiyo itafanyika kwasababu ya kuwalinda wawekezaji wasipate misukosuko ktk soko la hisa la London. Taarifa itakuwa "Tumeshafikia makubaliano ambayo yanafaida pande zote na sasa tunaangalia zaidi namna ya kuongeza ufanisi katika uwekezaji wetu ili pande zote zipate faida zaidi. Maelezo ya ziada kuhusu makubaliano yetu yatabaki kuwa siri baina yetu. Ahsanteni sana." Mwisho wa kunukuu.
Na pesa kulipwa serikalini nayo itakuwa siri ??
 
Na pesa kulipwa serikalini nayo itakuwa siri ??
Wakikubali kulipa ni kusema wamekubali kosa kitu ambacho kitaharibu reputation(hadhi/sifa njema) yao hasa ktk soko la hisa. Kitu ambacho pia sisi kama taifa tutatetereka kiasi flani kama hiyo kampuni itatetereka. Ni heri watulipe na kisha mambo yaende kimya kimya bila kuuathiri sana upande wowote.
 
Week ijayo dude linaamshwa..kuna hatari ya mtu kupimwa ubongo baada ya kukosa mkojo..
 
Mtoa mada hujui kama siku ya jumamosi tuko busy na ibada,
 
Back
Top Bottom