Wanajadili Nini; kwani wewe unajua Nini. Ukijua kidogo unatumia muda kidogo lakini ukijua mengi unatumia muda mwingi kujadiliana na kufikia muafaka.Ni takribani mwezi mzima tangu barick na serikali waanze mazungumzo, ndani mwezi huu wote serikali ipo haisemi kinachoendelea kwenye mazungumzo.
Swali la kujiuliza mazungumzo gani hayo yanafanywa mwezi mzima, hivi kweli wale jamaa wa Barrick hawana kazi za kufanya wakae mwezi mzima kujadili makinikia.
Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.
Hapa hoja ni kwamba mtu mwenye akili hapendi kukaa na pending au kiporo kwa muda mrefu lazima afanye maamuzi ili aendelee na mambo mengine.H
Ushasema CV zao ziko vizuri maana take hawabebi zege so siyo lazima wawe Canada ndo wafanye shughuli zao hata wakikaa mwaka mzima hapa kazi zao zitaenda vizuri tu, laptop wanazo so wanaweza kufanya kazi zao popote.
waseme waaibike!!!Hapa ni kukaa kimya tu na kumsingizia mambo yote Tundu Lissu kuwa ndiye anayewakwamisha kwenye mazungumzo hayo!!!Ni takribani mwezi mzima tangu barick na serikali waanze mazungumzo, ndani mwezi huu wote serikali ipo haisemi kinachoendelea kwenye mazungumzo.
Swali la kujiuliza mazungumzo gani hayo yanafanywa mwezi mzima, hivi kweli wale jamaa wa Barrick hawana kazi za kufanya wakae mwezi mzima kujadili makinikia.
Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.
ndege ya barick bado iko pale airport, labda kama waliondoka na pangaboiNi takribani mwezi mzima tangu barick na serikali waanze mazungumzo, ndani mwezi huu wote serikali ipo haisemi kinachoendelea kwenye mazungumzo.
Swali la kujiuliza mazungumzo gani hayo yanafanywa mwezi mzima, hivi kweli wale jamaa wa Barrick hawana kazi za kufanya wakae mwezi mzima kujadili makinikia.
Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.
Mimi natamani hayo mazungumzo yazae matunda.
Natamani wasifikie kwenye zero. Kwamba angalau tupate hata dola 5B itusaidie kujenga Stigler's Gorge ya megawati 2100, na standard gauge ya kwenda mwanza.
Nchi yetu ni masikini. Tuitakie mema hata kama alieko madarakani hatumpendi, yeye ataondoka ila nchi yetu itaendelea kuwepo.
Nchi ni maskini sana, ikitokea tukakosa hizo hela hajakosa Magufuli, tumekosa watanzania, maana hizo hela zitainufaisha zaidi Tanzania kuliko Magufuli, hata kama ni kula hatakula zote.
Mimi binafsi naomba tupate angalau dola 5B tu ziboost bajeti yetu.
Mimi natamani hayo mazungumzo yazae matunda.
Natamani wasifikie kwenye zero. Kwamba angalau tupate hata dola 5B itusaidie kujenga Stigler's Gorge ya megawati 2100, na standard gauge ya kwenda mwanza.
Nchi yetu ni masikini. Tuitakie mema hata kama alieko madarakani hatumpendi, yeye ataondoka ila nchi yetu itaendelea kuwepo.
Nchi ni maskini sana, ikitokea tukakosa hizo hela hajakosa Magufuli, tumekosa watanzania, maana hizo hela zitainufaisha zaidi Tanzania kuliko Magufuli, hata kama ni kula hatakula zote.
Mimi binafsi naomba tupate angalau dola 5B tu ziboost bajeti yetu.
Mimi natamani hayo mazungumzo yazae matunda.
Natamani wasifikie kwenye zero. Kwamba angalau tupate hata dola 5B itusaidie kujenga Stigler's Gorge ya megawati 2100, na standard gauge ya kwenda mwanza.
Nchi yetu ni masikini. Tuitakie mema hata kama alieko madarakani hatumpendi, yeye ataondoka ila nchi yetu itaendelea kuwepo.
Nchi ni maskini sana, ikitokea tukakosa hizo hela hajakosa Magufuli, tumekosa watanzania, maana hizo hela zitainufaisha zaidi Tanzania kuliko Magufuli, hata kama ni kula hatakula zote.
Mimi binafsi naomba tupate angalau dola 5B tu ziboost bajeti yetu.
Hizi ni ndoto za alinacha.nchi hii haiwezi kuendelea chini ya ccm,never.kamweMimi natamani hayo mazungumzo yazae matunda.
Natamani wasifikie kwenye zero. Kwamba angalau tupate hata dola 5B itusaidie kujenga Stigler's Gorge ya megawati 2100, na standard gauge ya kwenda mwanza.
Nchi yetu ni masikini. Tuitakie mema hata kama alieko madarakani hatumpendi, yeye ataondoka ila nchi yetu itaendelea kuwepo.
Nchi ni maskini sana, ikitokea tukakosa hizo hela hajakosa Magufuli, tumekosa watanzania, maana hizo hela zitainufaisha zaidi Tanzania kuliko Magufuli, hata kama ni kula hatakula zote.
Mimi binafsi naomba tupate angalau dola 5B tu ziboost bajeti yetu.
Hata tukikosa sio MBAYA ni sehem ya kujifunziaMimi natamani hayo mazungumzo yazae matunda.
Natamani wasifikie kwenye zero. Kwamba angalau tupate hata dola 5B itusaidie kujenga Stigler's Gorge ya megawati 2100, na standard gauge ya kwenda mwanza.
Nchi yetu ni masikini. Tuitakie mema hata kama alieko madarakani hatumpendi, yeye ataondoka ila nchi yetu itaendelea kuwepo.
Nchi ni maskini sana, ikitokea tukakosa hizo hela hajakosa Magufuli, tumekosa watanzania, maana hizo hela zitainufaisha zaidi Tanzania kuliko Magufuli, hata kama ni kula hatakula zote.
Mimi binafsi naomba tupate angalau dola 5B tu ziboost bajeti yetu.