URBAN MONKEY
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 736
- 1,374
Imekuwa vice versa mkuu wewe na mimi ndio tunatakiwa tuwape wazungu noah
Dah!!!!!!! Aiseeee.......Imekuwa vice versa mkuu wewe na mimi ndio tunatakiwa tuwape wazungu noah
PAMBANA NA HALI YAKOMazungumzo yanakaribia mwezi sasa hatujui nini kinaendelea. Kama vile nakata tamaa ya kupata Noah yangu niliyoahidiwa..Wenzangu vipi mna matumanini??
Bombadier yetu nayo sijui ishapigwa mnada huko Canada!! Yana saivi naogopa hata kwenda nnje ya nchi mana naona wazungu watanipiga mnada kifidia madeni tunayodaiwa.
Wadau maombi yanahitajika kunusuru taifa letu,hali sio shwari kama wengi wenu mnavyodhani
Daahh... Kwa kweli maombi yanahitajika, yaani kutoka kulipwa na sasa si kulipwa imekua kuwalipa.! Hivi nchi hii ni nani wa kutuagua huu ulozi [uchawi]..!?Imekuwa vice versa mkuu wewe na mimi ndio tunatakiwa tuwape wazungu noah
Noah........ Inapotea nn!!!!!!"tunapoteza muda tu...
Shida ya ulimbukeni wako kwa wazungu kwani CV ndio nini,eti wale jamaa hawana muda je sisi ndio tuna muda?acheni kuwa na fikra duni kisa wazungu,hapa TZ kampuni yao ilikuwa ikiongozwa na Deo Mwanyika je yeye ni mzungu?Kwa CV za wale jamaa wa barick sio watu wakupoteza mwez mzima kujadili makinikia! Barick ina oparate maeneo mengi duniani, hawawez kuacha kazi zao wabakie na makanikia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wasiofahamu. Masungumzo yalikwishamalizika. Baadhi ya wajumbe wa Barrick walikaa siku 3 tu. Hawawezi kukaa na kupoteza muda wote huo kwaajili ya jambo linalofahamika.
Watu hawapati taarifa za ndani kwa sababu serikali haikutaka watu wajue majadiliano yanaendaje na yamekwisha vipi mpaka yenyewe itakapoamua iwaambie nini wananchi, wakati gani na kwa namna ipi.
Wajumbe wote waliapishwa na jaji na kuapa kuwa hawatasema chochote kuhusiana na mjadala wa makinikia. Kikubwa ambacho serikali yetu imefanikiwa ni kuhodhi taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app



Hivi hizo Noah kila mtu akiwa na yake barabarani kutapitikaje?Shida yetu ni kukosa subira. 'Wanaume' wamejitolea kuzileta Noah kabisa ndio maana kuna ukimya. Hebu 'bwageni mioyo', muda huu pambana upate leseni ili siku ya uzinduzi usiseme tumekutenga, maana tutapiga bonge la show tukiperuuuuuuuuz juu ya 'furahi ova' yetu.
Timaaaaaam?
Sisi wanawakeMagu bwana,sijui kwenye hayo mazungumzo mwanamke ni nani!!!
Mambo ya kiume huisha kiume na mbele za watu kusema tu tumekubaliana kumaliza tatizo na kusonga mbele kwa manufaa ya wote!!!
M FooooolMazungumzo yalidumu siku 3 tu yakavunjika baada ya serikali kuonekana wanaongea vitu ambavyo havipo duniani
Sent using Jamii Forums mobile app