Vipi update za mazungumzo na Accacia

Vipi update za mazungumzo na Accacia

Serikali isiwape updates zozote ibaki kimya hivyohivyo. Mmekaa kusubiri kuanza kubadili maneno maneno, mkae hivyohivyo mkisubiri
Hta Bombadia ilikaa kimya baadae ikaja KUZUNGUMZA..................Na hili itazungumza tu si ilitutangazia kuwa kuna Mazungumzo?
 
Juzi kwenye kuapishwa Naibu wa PCCB Prof.Kabudi alikuwepo ni dalili mazungumzo yamesimama au yameisha.Pili jana kigamboni nkasikia Mh.Rais akisema watu wanaingia mikataba ya ovyo.Naendelea kuunganisha dots...ngoja tusubiri
Huyu hapa,
 
Makinikia walikabidhiwa? Kitu mnanishangaza watanzania wenzangu ni kushabikia vitu kinafki mtafikiri mnaishi ulaya kama tz tukifail hajafeli magufuli ni watanzania wote, kwani mikataba ikivunjwa tulikuwa tunafaidika na nini, ivunjwe tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ikijengwa barabara hatujajenga sisi walipa kodi kajenga YEYE
 
tunasubiri serikali ikosee ili tupate cha kuzungumza ni Tanzania tu unaweza kuwapata akina lissu wengi

Tupe ww ilivhopatia kwenye makinikia tuanzie hapo kuzungumza. Ww mwenyewe huon jema katka makinikia ila unTaman sisi tukuonyeshe huu si wehu??
 
Mazungumzo yalishaisha na washasepa

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
H

Ushasema CV zao ziko vizuri maana take hawabebi zege so siyo lazima wawe Canada ndo wafanye shughuli zao hata wakikaa mwaka mzima hapa kazi zao zitaenda vizuri tu, laptop wanazo so wanaweza kufanya kazi zao popote.
Jinga kabisa wewe
 
Mazungumzo yanakaribia mwezi sasa hatujui nini kinaendelea. Kama vile nakata tamaa ya kupata Noah yangu niliyoahidiwa..Wenzangu vipi mna matumanini??

Bombadier yetu nayo sijui ishapigwa mnada huko Canada!! Yana saivi naogopa hata kwenda nnje ya nchi mana naona wazungu watanipiga mnada kifidia madeni tunayodaiwa.

Wadau maombi yanahitajika kunusuru taifa letu,hali sio shwari kama wengi wenu mnavyodhani
 
Kalime mpunga au mahindi...Noah sahau
 
Mazungumzo yanakaribia mwezi sasa hatujui nini kinaendelea. Kama vile nakata tamaa ya kupata Noah yangu niliyoahidiwa..Wenzangu vipi mna matumanini??

Bombadier yetu nayo sijui ishapigwa mnada huko Canada!! Yana saivi naogopa hata kwenda nnje ya nchi mana naona wazungu watanipiga mnada kifidia madeni tunayodaiwa.

Wadau maombi yanahitajika kunusuru taifa letu,hali sio shwari kama wengi wenu mnavyodhani
Zimeyeyuka..
 
Mazungumzo yanakaribia mwezi sasa hatujui nini kinaendelea. Kama vile nakata tamaa ya kupata Noah yangu niliyoahidiwa..Wenzangu vipi mna matumanini??

Bombadier yetu nayo sijui ishapigwa mnada huko Canada!! Yana saivi naogopa hata kwenda nnje ya nchi mana naona wazungu watanipiga mnada kifidia madeni tunayodaiwa.

Wadau maombi yanahitajika kunusuru taifa letu,hali sio shwari kama wengi wenu mnavyodhani
We jamaa umenistua sana... nlifikiri unasema zimeyeyuka...

Tuendelee kuishi kwa matumaini... mi nsha-renew leseni yangu

Nadhani zitafika siku moja na Bombadier yetu iliyotekwa Canada
 
We jamaa umenistua sana... nlifikiri unasema zimeyeyuka...

Tuendelee kuishi kwa matumaini... mi nsha-renew leseni yangu

Nadhani zitafika siku moja na Bombadier yetu iliyotekwa Canada
Hahaaaa..Bombadier impigwa mnada mdau haijatekwa.
 
Hivi kwako unafikiri ni kazi rahisi namna hiyo ya kukaa mezani kusema ndiyo au hapana?Siyo hivyo ndugu yangu kila upande unakuwa makini lakini wakijuwa kilicho wapeleka pale nini, wewe subiri utaelezwa nini kimetokea wakati ukifika,haraka haraka haina baraka, mvumilivu ula mbivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo mtaambiwa wanaume wamekubali kulipa kumbe changa la macho!!!!
 
Ni takribani mwezi mzima tangu barick na serikali waanze mazungumzo, ndani mwezi huu wote serikali ipo haisemi kinachoendelea kwenye mazungumzo.
Swali la kujiuliza mazungumzo gani hayo yanafanywa mwezi mzima, hivi kweli wale jamaa wa Barrick hawana kazi za kufanya wakae mwezi mzima kujadili makinikia.

Binafsi naamini kuwa mazungumzo yale Tanzania tumeambulia patupu, naamini wale barick wameisha ondoka inatafutwa njia ya kutudanganya wadanganyika, wazungu wanajali sana hawawezi kukaa muda kujadili jambo hilo tu la makinikia
Serikali iseme kama tumeshindwa tujue.
Tumeshindwa bila chenga rejea HUTUBA ya kigamboni chuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom