Shuleni tulikuwa wadogo na zama zile au zetu ilikuwa bado dunia haijavamiwa kama dunia ya leo ,makeup visigino vya viatu mitindo ya nguo ,namna mdada anavyokuangalia hujui kama anakwita au anakuuliza.mtihani kweli.Kwani shuleni ulikuwa unafanyaje mkuu?