[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani mnataka kuniozesha bure kisa hadithi? [emoji134] [emoji134] [emoji134]The Bold si unajua mimi ni shemeji..!
Sasa do a favour! Mimi nimekupa Dada yangu Nifah..
On the basis of that and as a matter of showing respect to your in-laws
KESHO TUWEKEE EPISODE YA TANO SAA 12 JIONI
Kwa hisani ya mashemeji wote! Mkuu ukifanya hivyo hata yale mahari ambayo hukumalizaga mimi nakusamehe tuu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya hivyo mkuu!
Tujitolee wenyewecharacter wapo watu mil50 hatuwezi kukosa waigizaji. si lazima tutumie hawa waliopo.wengi masharobaro. unatafuta then unawatrain kidogo wataweza. ishu madirector tu ndo ishu. story inakuwa nzuri wao wanaaribu.
Nishamaliza kiporoUtasoma kiporo
Kesho utasoma kipyaNishamaliza kiporo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]The Bold si unajua mimi ni shemeji..!
Sasa do a favour! Mimi nimekupa Dada yangu Nifah..
On the basis of that and as a matter of showing respect to your in-laws
KESHO TUWEKEE EPISODE YA TANO SAA 12 JIONI
Kwa hisani ya mashemeji wote! Mkuu ukifanya hivyo hata yale mahari ambayo hukumalizaga mimi nakusamehe tuu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya hivyo mkuu!
Cc The TransporterHao usalama wa taifa wangemchukua pia na The transporter kwa Ku quote uzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nifah ni mratibu tuASA WEWE UNAMTAJA NIFAH KWANI NDO MWENYE STORY SHAURI YAKO [emoji40] [emoji40]
Wifi ako nae mzinguajiNmekuita weeeeee cjui ulienda wapi
Ila bangi vijana wanavuta,siku hizi kuna lami had mazimbu ndani,Zamani zamani dark city palikua na team inaitwa ABC...
A: Africa
B: Bangi
C:Chakula.
Nimeamini ukiwa na njaa sana haushibi vizuriNa mm baba bite nimeiona fupi
Aisee,yaani nakwambia hivi hii stori kuna matukio yanasadifu kabisa na issue ya dogo.Ndugu hao jamaa wa usalama ukiingia anga zao huwa sio watu wazuri
Dada tulia basi na wewe! Nitakuchomea kwa mshua huku amkatae The Bold a.k.a the Narrator [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani mnataka kuniozesha bure kisa hadithi? [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti yeye zingekuja zile difenda wakiwemo jamaa wale [emoji40] [emoji40] wakiwa wamevaa kininja[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji12] [emoji12]Cc The Transporter
Ila ameshaomba msamaha na ametoa sababu za ku quote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Okay jibu nshalipata tiyari The bold ebu niendelee na kazi nyingne za usikuKesho tuvute pumzi kidogo.! Kesho ni mda wote naudediketi kwako.. Episode 5 , j'tano