johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Then utanitumia voice note au ndo nije nisome kiporo ?Tehe teheee unaniaibisha kamalizie kuoga,ntasoma kwa niaba yako ucjali
Then utanitumia voice note au ndo nije nisome kiporo ?Tehe teheee unaniaibisha kamalizie kuoga,ntasoma kwa niaba yako ucjali
Hajui huyo, nashangaa chid benz kafata starehe ya kipuuzi badala angekuwa huku angeinjoy zaidiHajui kama hii ina addiction zaidi ya ngada
Nimekufurahisha na nini mkuu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nifah
Unazingua jamaa, sio lazima uquote stori nzimaUmetisha mkuu
Dark City ni kwa wenyej tu ndio salama,ila kwa wageni kweli ni shida,halafu kuna jamaa humu anajiita Dark City sijui ni wa pande hiziHahahaha hapo Dark City pameshindika aisee. Mkubwa ndevu mdogo ndevu. Yaani siku ya kwanza tu kuna dogo wa kama 4 years hivi kanatusalimia 'Oya washkaji mambo vipi?'. Hapo ndio nikajua siko eneo salama.
Utasoma kiporoThen utanitumia voice note au ndo nije nisome kiporo ?
Huenda 'The Board' waliifupishaYaani Mkuu The bold hii ilipoishia ndio patamu zaidi kuliko ile nyingine halafu mbona imekuwa fupi sana.
kajichanganya sana baba bite hakuwa mtu mzuri sana ila kajisahau kwamba alitolewa damu hawa watu wanaweza kumtrack muda wowote na mbaya zaid namuonea huruma issackNgachoka mie ss mhaya wangu ushaingia vitani na wenzako,kumbe bwana sometimes tunatakiwa kuwa waangalifu kwa misaada
HahahahahahaHuenda 'The Board' waliifupisha
Umetisha mkuu
Alitakiwa kufanyia kazi hisia zake kuhus Ba Bite lkn wale ndugu zetu c unajua watata kila ktu wanajuakajichanganya sana baba bite hakuwa mtu mzuri sana ila kajisahau kwamba alitolewa damu hawa watu wanaweza kumtrack muda wowote na mbaya zaid namuonea huruma issack
Mkuu hebu futa comment yako uliyoquote uzi wote! Unasababisha usumbufu kwa wanaotumia app kwenye simu..Yaani Mkuu The bold hii ilipoishia ndio patamu zaidi kuliko ile nyingine halafu mbona imekuwa fupi sana.
Pole sana bibie nunua kifaa chenye uwezoDuh..hata sisi wabongo ni wagumu sana kuelewa. mara ngapi inasemwa mtu usi quote story nzima, hata usipo quote ataona comment yako...aaaargh.
Anunue kifaa chenye uwezo unampa hela au??Pole sana bibie nunua kifaa chenye uwezo