Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Daaah yaan mda wote presha ipo juu, mbaya zaid hayo majibu ya ERICK KABURU ni lazima udate i see... Sasa kimbembe ilipokomea leo unataman iendelee lakin daaah
 
Character wa kuwaweka ndani ya story hapa bongo ndo tatizo
Otherwise tungekuea tunaitafuta prison break
character wapo watu mil50 hatuwezi kukosa waigizaji. si lazima tutumie hawa waliopo.wengi masharobaro. unatafuta then unawatrain kidogo wataweza. ishu madirector tu ndo ishu. story inakuwa nzuri wao wanaaribu.
 
Hahahaaa! The Board wamemchukua kijana wetu...!

Hapa ndo unajua wewe ni mmoja wao!

Mkuu the Bold shukurani sana!

Watu sasa hivi hata usipowatag wanajua ratiba utadhani dozi ya maleria...

Salute mkuu
 
Kesho tuvute pumzi kidogo.! Kesho ni mda wote naudediketi kwako.. Episode 5 , j'tano
The Bold si unajua mimi ni shemeji..!

Sasa do a favour! Mimi nimekupa Dada yangu Nifah..

On the basis of that and as a matter of showing respect to your in-laws

KESHO TUWEKEE EPISODE YA TANO SAA 12 JIONI

Kwa hisani ya mashemeji wote! Mkuu ukifanya hivyo hata yale mahari ambayo hukumalizaga mimi nakusamehe tuu...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya hivyo mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom