Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Wacha nikukumbushe..

Kuna apartments Tatu.. Zote ziko ndani ya uzio mmoja! Apartment mbili zinafanana (vyumb viwili, choo, jiko) hizi moja anakaa Ray na nyinge anakaa mla bata Tony na 'demu' wake grace..
Apartment nyingine iko tofauti kidogo, ina vyumba vitatuu, choo na jiko.. Hii amepanga baba bite na anaishi na mkewe, mtoto wao wa miaka minne beatrice (bite) na msichana wa kazi..


Umekumbuka??
Naomba link ya episode 4
 
Mkuu The Bold tumeshakuwa addicted ha hii movie. Sasa itaendelea lini? Mkuu nakupa 5. Hongera sana ngoja nimuombe Nifah wako ani inbox. Najua ana mkanda mzima. Hahaha.
Cc Nifah
 
mi shida yangu sio kichwa kukamatwa, namuwaza CHEUPE tu. siamini kama jua la saa 6 lilikimaa kabla hajapata mrith......! kufa kufaana najua akiba 'baba bite na tony mzee wa bata hawachelewi kujifanya wanamsaidia cheupe kumbe' shemeji shemeji huku wazina taa'. Sifa nyingi kwako mkuu The bold. ishi siku nyingi dunia ikufaidi kwa kazi za kalamu yako
 
Mkuu The Bold zifanye hivi hivi fupi fupi, zikiwa ndefu na Episode yenyewe imewekwa saa tatu usiku! Unaweza kukesha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom