Tutamchukua Tchidi Chikere wa Nigeria na hiyo training labda iwe nje ya bongo aisee na waalimu tu-outsource abroadcharacter wapo watu mil50 hatuwezi kukosa waigizaji. si lazima tutumie hawa waliopo.wengi masharobaro. unatafuta then unawatrain kidogo wataweza. ishu madirector tu ndo ishu. story inakuwa nzuri wao wanaaribu.

UmeonaehMkuu the Bold daaahh, wale askari jela watakukumbuka sana nyekundu tano mazeee...... All in all its one of my favourite story in JF u deserve the best

Lazima baba bite ndo alikuwa anachora ramani ya rayBaba Bite..ahahaaa nadhani atapangiwa kazi nyingine ameitwa hq maramoja.
Ray alishindwa kufanyia kazi hisia zake.
Amuegemee kifuani mpaka asubuhiThe bold kasema episode mpya ni jumatano mkuu, wew lala kama upo na cheupe mvute karibu yako.

Asante sana mkuu.Post # 852 (page 86)
Asante mkuu, kanzi nzuri Mungu akupe maisha marefuPale mwishoni mwa episode 1 (post # 1) kuna link inayokupeleka moja kwa moja post # 282 kwenye episode 2
Shukrani mkuu! Tayari nimekuongeza kwenye taglist
Doh, kina chid benz mpo wengi kumbeMlale salama wakuu ila ikipostiwa episode mpya mniamshe

Hhahha mimi baba bite nilisham request cheupe kitambo na ndo maana nimehama pale ili hata the board wakinitafuta na mm wanikosemi shida yangu sio kichwa kukamatwa, namuwaza CHEUPE tu. siamini kama jua la saa 6 lilikimaa kabla hajapata mrith......! kufa kufaana najua akiba 'baba bite na tony mzee wa bata hawachelewi kujifanya wanamsaidia cheupe kumbe' shemeji shemeji huku wazina taa'. Sifa nyingi kwako mkuu The bold. ishi siku nyingi dunia ikufaidi kwa kazi za kalamu yako
Hhahha hata ww umechidbenzika basi hii kitu ni shidaAsante sana mkuu.
Nimesoma hadithi nyingi sana hapa JF, ila this shit is really thrilling, too hot to be chewed unameza bila kutafuna Mzee.
Aminia sana The bold
Na wasipo sikiliza proposal yako kwa hasira "mcheki" The Bold wewe mwenyewe binafsiJamani mi naproposal
Kama mkuu The bold atakubali ombi letu na nyie wadau addicted like me mtaridhia, tutume walau a minimum of buku 2 kwa wale tunaotaka epsode 5 kesho badala ya jumatano
Ni wazo tu jamani, maana sio kwa hamu hii

Tatizo namba mkuu ctakunywa bia leo au kseho ili nikutumie wwNa wasipo sikiliza proposal yako kwa hasira "mcheki" The Bold wewe mwenyewe binafsi![]()
![]()
Tatizo namba mkuu ctakunywa bia leo au kseho ili nikutumie ww

Post # 852 (page ya 86 kama unatumia app kwenye simu)Wap episode ya 4
Got it![]()
![]()
![]()
NimeshakuPM number..![]()
