Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 989
- 1,657
Shida ipo mkuu JPM hutuma watu wazito kama walivyofanya BURUNDI
Matokeo ya Poor Diplomacy, kila sehemu unatuma watu unategemea nini? Haya mambo ya kutuma watu wanafanya mataifa yenye nguvu kweli kweli za kiuchumi na Kijeshi.
Jambo la pili kwenye tatizo COVID-19 tulichukua muelekeo tofauti na muelekeo wa Dunia.