Viongozi wakuu wa nchi wamesusia kuja kumuaga Mkapa?

Dah aisee, apa umeamua kufikiria kwa kina au umeongea tu, kwa hiyo furaha yako ni kutajiwa idadi ya Wagonjwa? au kupewa taarifa za walipoteza maisha?.
Kaka huu ugonjwa n Pandemic kila Nchi inachukua hatua zake kulingana na hali ya ugonjwa ulivo Nchi husika, au unataka kitangaziwa tu kama fashion, wewe kama wewe zitakusaidia nn labda

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
My friend Embu tumia logic kidogo siyo kuleta ishu za kutetea mambo ya utaifa hata kwa Jambo lisilo na msingi just kulinda utaifa,mtu au taifa litakuwa defined kuendana na mambo yake,taifa Lolote likiwa na mambo ya hovyo litakuwa defined kihovyohovyo Hivyo hivyo!In 21st century-science is data and data matters in every aspect of life.period
 
Kazi ya kuhamasisha anaiweza Makonda, Makonda angeweza hata kuwakusanya wana siasa wa mikoa jirani kwa posho ili waje wajae mabarabarani.
Mimi nafikiri watu wanajipanga wenyewe bila hata kuambiwa!!!!! Mahusiano ni kitu muhimu sana katika maisha!!!!! Uwanjani siku ya kuaga kitaifa wamejaa wanafunzi na uniform zao!!!!!!! Watu wazima wako wapi? Tutafakari.
 
CORONA IPO, INAUA.
NA IMEMUUA JAMAA
Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?

Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?

Nakumbuka alipokufa Moi, Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au?

Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe,
Hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao wala kutoa hifadhi wa wakimbizi kutoka kwao.

View attachment 1519387

Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
 
Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?

Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?

Nakumbuka alipokufa Moi, Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au?

Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe,
Hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao wala kutoa hifadhi wa wakimbizi kutoka kwao.

View attachment 1519387

Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.
Usipoenda kwao msiba wa jirani watakujaje?
 
1595941423959.png
Ukweli utafahamika tu, hizi ni speculations/propaganda
 
Mimi nafikiri watu wanajipanga wenyewe bila hata kuambiwa!!!!! Mahusiano ni kitu muhimu sana katika maisha!!!!! Uwanjani siku ya kuaga kitaifa wamejaa wanafunzi na uniform zao!!!!!!! Watu wazima wako wapi? Tutafakari.
Watu wazima wapo busy kutafuta njururu, na nimeshangaa sana Magufuli pamoja na kulia kwake uwanjani na kutusisitizia kwamba mzee mkapa ndiye aliyemfikisha hapo alipo lakini ameshindwa kutenga hata siku mbili tu za mapumziko ili watu wawape wasaa wa kumuaga mpendwa wao.
 
Watu wazima wapo busy kutafuta njururu, na nimeshangaa sana Magufuli pamoja na kulia kwake uwanjani na kutusisitizia kwamba mzee mkapa ndiye aliyemfikisha hapo alipo lakini ameshindwa kutenga hata siku mbili tu za mapumziko ili watu wawape wasaa wa kumuaga mpendwa wao.
atakuambia "HAPA KAZI TU"
 
Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.

Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
 
Back
Top Bottom