Viongozi wakuu wa nchi wamesusia kuja kumuaga Mkapa?

Watu wazima wapo busy kutafuta njururu, na nimeshangaa sana Magufuli pamoja na kulia kwake uwanjani na kutusisitizia kwamba mzee mkapa ndiye aliyemfikisha hapo alipo lakini ameshindwa kutenga hata siku mbili tu za mapumziko ili watu wawape wasaa wa kumuaga mpendwa wao.
Mkuu ile Jumatatu Mh. PM aliomba wananchi washiriki siku ya kitaifa kumuaga Marehemu. Na hata kama asingesema kwa mahusiano bado watu wangeenda tu na si watoto wanafunzi na waalikwa na niseme viongozi wa serikali. Jana ndiyo uwanja ulipaswa kufurika mpaka nje kuwe na projector sheet kabisa.
 
Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.

Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
uhuru Kenyata alituma timu iliokuwa inaongozwa na senator Samuel Poghiso; ndege yao ikageuzwa kurudi Nairobi ilipofika anga letu,eneo la wanaume,pale Monduli. ".....plane forced to turn mid-air in Monduli.." . .Plane carrying Kenyan delegation to Mkapa's funeral service forced to turn mid-air
 
Kwa hali ya sasahv wala sio kushangaa Corona tu yenyewe imefanya viongoz na mataifa mbalimbali wasiaminiane...na ni risk...better walivyoamua...kipindi kigumu hiki aisee msikichukulie hvo...leo nipo nchi moja Asia wamepiga partial lockdown mpaka Aug 10 Dunia bado haijatengamaa aisee
 
Back
Top Bottom