Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema maandalizi ya hafla ya kuapishwa kwa Rais Mteule John Pombe Magufuli yamekamilika na yatahudhuriwa na viongozi mbalimbali takribani 20 wakiwemo marais watatu wa Uganda, Comoro na Zimbabwe.
Wengine ni; Makamu wa Rais wa Nchi Kadhaa na Mawaziri Wakuu wa Nchi kadhaa wakiwemo pia viongozi wengine mashuhuri kama Rais Mstaafu wa Nigeria, Olussegun Obasanjo, Nabii T. B Joshua na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar.
Aidha, amesema mabalozi 83 wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini watahudhuria.
Chanzo: HabariLeo
Wengine ni; Makamu wa Rais wa Nchi Kadhaa na Mawaziri Wakuu wa Nchi kadhaa wakiwemo pia viongozi wengine mashuhuri kama Rais Mstaafu wa Nigeria, Olussegun Obasanjo, Nabii T. B Joshua na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar.
Aidha, amesema mabalozi 83 wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini watahudhuria.
Chanzo: HabariLeo