Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,362
Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa ccm , Samia Suluhu Hassan ni miongoni wa viongozi kadhaa walioalikwa kutokea Tanzania na Africa ili kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mpya wa Kenya Dr William Ruto , Alikuwemo pia Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe .
Kilichofanya niandike jambo hili ni maneno Machache aliyoyasema Rais wa Tanzania Akiwaambia raia na viongozi wa Kenya , Mh Samia Suluhu amesema hivi , Naomba kunukuu , "KAMA KUNA ZAWADI MLIYOITOA KWA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI MWAKA HUU NI ZAWADI YA AMANI MLIYOIWEKA KATIKA UCHAGUZI" Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Swahili Times
Sasa hebu Toeni maoni yenu kwenye hili , huku mkirejea mambo yaliyojili kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania wa 2020 , ambao Samia Suluhu alikuwa Mgombea Mwenza .
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
Kilichofanya niandike jambo hili ni maneno Machache aliyoyasema Rais wa Tanzania Akiwaambia raia na viongozi wa Kenya , Mh Samia Suluhu amesema hivi , Naomba kunukuu , "KAMA KUNA ZAWADI MLIYOITOA KWA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI MWAKA HUU NI ZAWADI YA AMANI MLIYOIWEKA KATIKA UCHAGUZI" Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Swahili Times
Sasa hebu Toeni maoni yenu kwenye hili , huku mkirejea mambo yaliyojili kwenye uchaguzi mkuu wa Tanzania wa 2020 , ambao Samia Suluhu alikuwa Mgombea Mwenza .
NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO