Vijana wanaoenda kusoma Ulaya wakirudi wanafanikiwa kwenye biashara tofauti na wenzao waliosoma nchi za Asia, tatizo nini?

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Nimeona vijana wanaoenda kusoma huko nchi za ulaya wakirudi wana kuwa na moto mkali wa kufanya biashara, hata wakiajiriwa basi kuna biashara pembeni, watu hawa nimeona biashara zao huwa zinafanikiwa sana japo simaanishi ni wote ila wengi, nimeona vijana wa kundi hili wanajituma zaidi na wana njaa ya fursa ni kawaida kukuta mtu kaacha hata ajira ajikite zaidi kwenye biashara yake.

kwa uoande mwengine wapo waliohitimu vyuo vya bara la Asia kwenye nchi kama China, India, Malaysia, Japan, n.k. hawa wakirudi ni wachache unawakuta wana spirit ya biashara na hata wanaofanya biashara unakuta zina sua sua japo sio wote ila ni wengi.
 
It's all about being visionary, kila mmoja ana upeo wake wa kuona nini ni nini lakini pia Ulaya na Asia kuna utofauti kiasi chake
 
Unconventional thinker vs Conventional thinker

Unconventional thinkers thinks out of the box but

Conventional thinkers don't think out of the box, it's hard for them to do so.

Are unconventional thinker? Creator/inventor?
 
Dunia ipo magharibi huko kwengine ni mtafaruku tupu
 
Nimeona vijana wanaoenda kusoma huko nchi za ulaya wakirudi wana kuwa na moto mkali wa kufanya biashara, hata wakiajiriwa basi kuna biashara pembeni, watu hawa nimeona biashara zao huwa zinafanikiwa sana japo simaanishi ni wote ila wengi, nimeona vijana wa kundi hili wanajituma zaidi na wana njaa ya fursa ni kawaida kukuta mtu kaacha hata ajira ajikite zaidi kwenye biashara yake.

kwa uoande mwengine wapo waliohitimu vyuo vya bara la Asia kwenye nchi kama China, India, Malaysia, Japan, n.k. hawa wakirudi ni wachache unawakuta wana spirit ya biashara na hata wanaofanya biashara unakuta zina sua sua japo sio wote ila ni wengi.
Asikuambie mtu ulaya kugumu yaani maisha ya ullaya yanakufundisha uchungu wa hela. Na system yao ya maisha hizi kazi ndogo ndogo ukishalipa kodi na bima ya afya hela inabaki kidogo sana. Nadhani huu uchungu wa hela ndo unawafanya wawe wafanyabiashara wazuri. Aisee sio poa kabisa, minimum wage 900-1000 Euros kwa mwezi kodi 500-600 Euros kwa mwezi, Bima ya Afya 120Euros kwa mwezi. Hapo unabaki na 400 Euros hiyo ni chakula, usafiri, kodi ya serikali etc. Mwanafunzi wa ulaya ukitaka abweteke umtumie pocket money ya mwaka mzima ila kama unam-assist kidogo kidogo lazima akomae kiuchumi.
 
Back
Top Bottom