Hili ni moja ya tatizo kubwa kwa vijana wanaojihusisha na siasa nchini

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Huwa nafuatilia sana, kusoma na kufuatilia mijadala na hoja nyingi zitolewazo na vijana wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.

Nimeona shida kubwa sana kwa vijana wetu ambao wengi wanaonekana dhahiri wanatamani kuwa na madaraka au nafasi kubwa ndani ya serikali. Shida iliyopo ni kwamba vijana wengi ni wachovu bado kwenye uwezo wa kujenga hoja.

Ukisoma Tweets au maandiko yao kwenye mitandao ya kijamii unakutana na mtu anashauri serikali katika hali ambayo hudhani mtu kama yeye anaweza kuandika jambo zito kwa wepesi kiachi hicho.

Unakuta kijana anaishauri TRA kupunguza VAT au kodi kwenye bidhaa nchini. Lakini kwenye hoja yake hiyo hakuna 'case study', kuonesha kwanza utashi juu ya jambo analoshauri, pia kuonesha kwamba amefuatilia kwa kina juu ya jambo hilo kabla ya kutoa ushauri. Hajui kwamba TRA inaendeshwa kwa sheria na kanuni ambazo ndio chanzo cha maamuzi mbalimbali ya mamlaka hiyo.

Kuna kijana mwingine wa chama fulani sitomtaja, yeye aliwahi kuishauri serikali inunue mafuta kutoka Urusi kwani i bei rahisi na yataweza kupunguza sana bei ya mafuta nchini na kuwapunguzia Watanzania ugumu wa maisha.

Ushauri wake ni mzuri kwa asiyefahamu kama yeye, ila ni ushauri mbovu na umemvua nguo mbele ya kadamnasi pia umemweka dhahiri uwezo wake wa kuelewa na kudadavua mambo. Fikira, katika hali kama ya sasa ambapo mataifa mengi makubwa yamejitenga kufanya biashara na Urusi, halafu anatokea mtu kutoka nchi masikini kama ya kwetu, nchi inayotegemea misaada na mikopo kujiendesha, anashauri eti sisi, tukafanye biashara na Urusi, anataka kuiweka wapi nchi yetu katika medani ya Kisiasa?

Ushauri wa kijana huyu umeonesha namna gani kijana huyu hana ufahamu na masuala ya uhusiano wa kimataifa, pia imeonesha namna gani hana 'rational thinking'.

Vijana wengi wanaona kuandika matusi na kukosa viongozi mtandaoni na kuwa na sauti kubwa ni mtaji wa kuwa mwanasiasa mzuri. Hapana, mtaji mkubwa wa kuwa mwanasiasa bora, sio bora mwanasiasa ni kusoma sana vitabu. Tazama mtu kama Zitto Kabwe, ni moja ya mifano ya watu ambao wana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja. Uwezo huu unatokana na mapenzi yao ya kusoma vitabu na kupenda kufuatilia mambo ya kidunia.

Ushauri wangu kwa vijana wenye ndogo kubwa kwenye tasnia ya siasa, mnawajibu wa kukuza na kuongeza maarifa yenu kila uchwao kwa kusoma vitabu.
 
Getrude Mollel, Senior Member,,,,kwa msaada zaidi, ni vitabu gani hasa vijana wanapaswa kupitia ili kukuza ufahamu wao wa kujenga hoja na uelewa wa mambo ya kisiasa? Msaada wa orodha tafadhali,,
 
Kalikuwa twitter kaja huku kuleta upuuzi wake .sijui kana jionaje
 
Getrude Mollel, Senior Member,,,,kwa msaada zaidi, ni vitabu gani hasa vijana wanapaswa kupitia ili kukuza ufahamu wao wa kujenga hoja na uelewa wa mambo ya kisiasa? Msaada wa orodha tafadhali,,
Umenipa wazo la andiko jipya, kesho hapa nitaweza orodha ya vitabu ambavyo mtu anapaswa kusoma kama anataka kuwa Mwanasiasa mzuri..
 
darasa la Saba ,CCM wanawaambia walimu tunataka Wanafunzi wapate A,kidato cha nne CCM wanawaambia walimu tunataka Wanafunzi wapate A ,kidato cha sita CCM wanawaambia walimu ,Wanafunzi lazima wapate A ,UDSM CCM wanawaambia walimu lazima UVCCM wapate A ,Sasa Unategemea huyu raia aliyeandaliwa Kwa kupata A ataweza kuhoji nini!Tuendelee ili uweze kujenga hoja lazima ufanye udadisi wa mambo mbalimbali CCM wenyewe hawataki kuhojiwa kuanzia kitongoji hadi Ikulu Sasa Unategemea huyu raia ataweza kujenga hoja lini?Tuendelee Leo hii lazima uwe na uzoefu wa kutembea na kuona nchi zingine wanafanya nini ,Sasa ukitaka kuomba visa CCM wanataka lazima uwe na Kadi tena inachukua miezi 17 kupata hiyo visa ,hivi unafikiri huyu raia atapata wapi uwezo wa kujenga hoja ?CCM have killed everything
 
Huwa nafuatilia sana, kusoma na kufuatilia mijadala na hoja nyingi zitolewazo na vijana wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.

Nimeona shida kubwa sana kwa vijana wetu ambao wengi wanaonekana dhahiri wanatamani kuwa na madaraka au nafasi kubwa ndani ya serikali. Shida iliyopo ni kwamba vijana wengi ni wachovu bado kwenye uwezo wa kujenga hoja.

Ukisoma Tweets au maandiko yao kwenye mitandao ya kijamii unakutana na mtu anashauri serikali katika hali ambayo hudhani mtu kama yeye anaweza kuandika jambo zito kwa wepesi kiachi hicho.

Unakuta kijana anaishauri TRA kupunguza VAT au kodi kwenye bidhaa nchini. Lakini kwenye hoja yake hiyo hakuna 'case study', kuonesha kwanza utashi juu ya jambo analoshauri, pia kuonesha kwamba amefuatilia kwa kina juu ya jambo hilo kabla ya kutoa ushauri. Hajui kwamba TRA inaendeshwa kwa sheria na kanuni ambazo ndio chanzo cha maamuzi mbalimbali ya mamlaka hiyo.

Kuna kijana mwingine wa chama fulani sitomtaja, yeye aliwahi kuishauri serikali inunue mafuta kutoka Urusi kwani i bei rahisi na yataweza kupunguza sana bei ya mafuta nchini na kuwapunguzia Watanzania ugumu wa maisha.

Ushauri wake ni mzuri kwa asiyefahamu kama yeye, ila ni ushauri mbovu na umemvua nguo mbele ya kadamnasi pia umemweka dhahiri uwezo wake wa kuelewa na kudadavua mambo. Fikira, katika hali kama ya sasa ambapo mataifa mengi makubwa yamejitenga kufanya biashara na Urusi, halafu anatokea mtu kutoka nchi masikini kama ya kwetu, nchi inayotegemea misaada na mikopo kujiendesha, anashauri eti sisi, tukafanye biashara na Urusi, anataka kuiweka wapi nchi yetu katika medani ya Kisiasa?

Ushauri wa kijana huyu umeonesha namna gani kijana huyu hana ufahamu na masuala ya uhusiano wa kimataifa, pia imeonesha namna gani hana 'rational thinking'.

Vijana wengi wanaona kuandika matusi na kukosa viongozi mtandaoni na kuwa na sauti kubwa ni mtaji wa kuwa mwanasiasa mzuri. Hapana, mtaji mkubwa wa kuwa mwanasiasa bora, sio bora mwanasiasa ni kusoma sana vitabu. Tazama mtu kama Zitto Kabwe, ni moja ya mifano ya watu ambao wana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja. Uwezo huu unatokana na mapenzi yao ya kusoma vitabu na kupenda kufuatilia mambo ya kidunia.

Ushauri wangu kwa vijana wenye ndogo kubwa kwenye tasnia ya siasa, mnawajibu wa kukuza na kuongeza maarifa yenu kila uchwao kwa kusoma vitabu.

Kijana mmoja Ndio ume conclude vijana wote???
 
Huwa nafuatilia sana, kusoma na kufuatilia mijadala na hoja nyingi zitolewazo na vijana wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.

Nimeona shida kubwa sana kwa vijana wetu ambao wengi wanaonekana dhahiri wanatamani kuwa na madaraka au nafasi kubwa ndani ya serikali. Shida iliyopo ni kwamba vijana wengi ni wachovu bado kwenye uwezo wa kujenga hoja.

Ukisoma Tweets au maandiko yao kwenye mitandao ya kijamii unakutana na mtu anashauri serikali katika hali ambayo hudhani mtu kama yeye anaweza kuandika jambo zito kwa wepesi kiachi hicho.

Unakuta kijana anaishauri TRA kupunguza VAT au kodi kwenye bidhaa nchini. Lakini kwenye hoja yake hiyo hakuna 'case study', kuonesha kwanza utashi juu ya jambo analoshauri, pia kuonesha kwamba amefuatilia kwa kina juu ya jambo hilo kabla ya kutoa ushauri. Hajui kwamba TRA inaendeshwa kwa sheria na kanuni ambazo ndio chanzo cha maamuzi mbalimbali ya mamlaka hiyo.

Kuna kijana mwingine wa chama fulani sitomtaja, yeye aliwahi kuishauri serikali inunue mafuta kutoka Urusi kwani i bei rahisi na yataweza kupunguza sana bei ya mafuta nchini na kuwapunguzia Watanzania ugumu wa maisha.

Ushauri wake ni mzuri kwa asiyefahamu kama yeye, ila ni ushauri mbovu na umemvua nguo mbele ya kadamnasi pia umemweka dhahiri uwezo wake wa kuelewa na kudadavua mambo. Fikira, katika hali kama ya sasa ambapo mataifa mengi makubwa yamejitenga kufanya biashara na Urusi, halafu anatokea mtu kutoka nchi masikini kama ya kwetu, nchi inayotegemea misaada na mikopo kujiendesha, anashauri eti sisi, tukafanye biashara na Urusi, anataka kuiweka wapi nchi yetu katika medani ya Kisiasa?

Ushauri wa kijana huyu umeonesha namna gani kijana huyu hana ufahamu na masuala ya uhusiano wa kimataifa, pia imeonesha namna gani hana 'rational thinking'.

Vijana wengi wanaona kuandika matusi na kukosa viongozi mtandaoni na kuwa na sauti kubwa ni mtaji wa kuwa mwanasiasa mzuri. Hapana, mtaji mkubwa wa kuwa mwanasiasa bora, sio bora mwanasiasa ni kusoma sana vitabu. Tazama mtu kama Zitto Kabwe, ni moja ya mifano ya watu ambao wana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja. Uwezo huu unatokana na mapenzi yao ya kusoma vitabu na kupenda kufuatilia mambo ya kidunia.

Ushauri wangu kwa vijana wenye ndogo kubwa kwenye tasnia ya siasa, mnawajibu wa kukuza na kuongeza maarifa yenu kila uchwao kwa kusoma vitabu.
Sawa mke wake Mwigulu na Case Study zenu mmeishia kutubebesha mikopo tu
 
Ukiwa Twitter mbona na wewe una weka mabango ya uongo ukishirikiana na kigogo
Hoja yako inamntiki Ila wewe huitimizi .hivyo kitu unachokisema ukiishi
 
Huwa nafuatilia sana, kusoma na kufuatilia mijadala na hoja nyingi zitolewazo na vijana wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.

Nimeona shida kubwa sana kwa vijana wetu ambao wengi wanaonekana dhahiri wanatamani kuwa na madaraka au nafasi kubwa ndani ya serikali. Shida iliyopo ni kwamba vijana wengi ni wachovu bado kwenye uwezo wa kujenga hoja.

Ukisoma Tweets au maandiko yao kwenye mitandao ya kijamii unakutana na mtu anashauri serikali katika hali ambayo hudhani mtu kama yeye anaweza kuandika jambo zito kwa wepesi kiachi hicho.

Unakuta kijana anaishauri TRA kupunguza VAT au kodi kwenye bidhaa nchini. Lakini kwenye hoja yake hiyo hakuna 'case study', kuonesha kwanza utashi juu ya jambo analoshauri, pia kuonesha kwamba amefuatilia kwa kina juu ya jambo hilo kabla ya kutoa ushauri. Hajui kwamba TRA inaendeshwa kwa sheria na kanuni ambazo ndio chanzo cha maamuzi mbalimbali ya mamlaka hiyo.

Kuna kijana mwingine wa chama fulani sitomtaja, yeye aliwahi kuishauri serikali inunue mafuta kutoka Urusi kwani i bei rahisi na yataweza kupunguza sana bei ya mafuta nchini na kuwapunguzia Watanzania ugumu wa maisha.

Ushauri wake ni mzuri kwa asiyefahamu kama yeye, ila ni ushauri mbovu na umemvua nguo mbele ya kadamnasi pia umemweka dhahiri uwezo wake wa kuelewa na kudadavua mambo. Fikira, katika hali kama ya sasa ambapo mataifa mengi makubwa yamejitenga kufanya biashara na Urusi, halafu anatokea mtu kutoka nchi masikini kama ya kwetu, nchi inayotegemea misaada na mikopo kujiendesha, anashauri eti sisi, tukafanye biashara na Urusi, anataka kuiweka wapi nchi yetu katika medani ya Kisiasa?

Ushauri wa kijana huyu umeonesha namna gani kijana huyu hana ufahamu na masuala ya uhusiano wa kimataifa, pia imeonesha namna gani hana 'rational thinking'.

Vijana wengi wanaona kuandika matusi na kukosa viongozi mtandaoni na kuwa na sauti kubwa ni mtaji wa kuwa mwanasiasa mzuri. Hapana, mtaji mkubwa wa kuwa mwanasiasa bora, sio bora mwanasiasa ni kusoma sana vitabu. Tazama mtu kama Zitto Kabwe, ni moja ya mifano ya watu ambao wana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja. Uwezo huu unatokana na mapenzi yao ya kusoma vitabu na kupenda kufuatilia mambo ya kidunia.

Ushauri wangu kwa vijana wenye ndogo kubwa kwenye tasnia ya siasa, mnawajibu wa kukuza na kuongeza maarifa yenu kila uchwao kwa kusoma vitabu.
Wewe ni kiongozi makubwa kijana ?

Hawa wanaotuongoza mbona wao ndio wapo empty zaidi?

Mtu kama Mwigulu anatoka kabisa kwa confidence anasema eti hakuna mtanzania atalipa deni la taifa😄😄😄

Kama viongozi ndio Hawa bora hata hao vijana wa ovyo kule Twitter kuliko watu wazima vilaza zaidi wanaotuongoza 😄😄😄
 
Umenipa wazo la andiko jipya, kesho hapa nitaweza orodha ya vitabu ambavyo mtu anapaswa kusoma kama anataka kuwa Mwanasiasa mzuri..
Mimi ntachangia baadhi ya vitabu.
1, uhuru na maendeleo by Nyerere

2, Republic by plato

3, politics by Aristotle
4, how nations fail
5......
 
Wewe ni kiongozi makubwa kijana ?

Hawa wanaotuongoza mbona wao ndio wapo empty zaidi?

Mtu kama Mwigulu anatoka kabisa kwa confidence anasema eti hakuna mtanzania atalipa deni la taifa

Kama viongozi ndio Hawa bora hata hao vijana wa ovyo kule Twitter kuliko watu wazima vilaza zaidi wanaotuongoza

ukimuona twitter huyu ni mpuuzi alafu kanajifanya kapo vizuri kumbe zwazwa humu.
 
Huwa nafuatilia sana, kusoma na kufuatilia mijadala na hoja nyingi zitolewazo na vijana wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.

Nimeona shida kubwa sana kwa vijana wetu ambao wengi wanaonekana dhahiri wanatamani kuwa na madaraka au nafasi kubwa ndani ya serikali. Shida iliyopo ni kwamba vijana wengi ni wachovu bado kwenye uwezo wa kujenga hoja.

Ukisoma Tweets au maandiko yao kwenye mitandao ya kijamii unakutana na mtu anashauri serikali katika hali ambayo hudhani mtu kama yeye anaweza kuandika jambo zito kwa wepesi kiachi hicho.

Unakuta kijana anaishauri TRA kupunguza VAT au kodi kwenye bidhaa nchini. Lakini kwenye hoja yake hiyo hakuna 'case study', kuonesha kwanza utashi juu ya jambo analoshauri, pia kuonesha kwamba amefuatilia kwa kina juu ya jambo hilo kabla ya kutoa ushauri. Hajui kwamba TRA inaendeshwa kwa sheria na kanuni ambazo ndio chanzo cha maamuzi mbalimbali ya mamlaka hiyo.

Kuna kijana mwingine wa chama fulani sitomtaja, yeye aliwahi kuishauri serikali inunue mafuta kutoka Urusi kwani i bei rahisi na yataweza kupunguza sana bei ya mafuta nchini na kuwapunguzia Watanzania ugumu wa maisha.

Ushauri wake ni mzuri kwa asiyefahamu kama yeye, ila ni ushauri mbovu na umemvua nguo mbele ya kadamnasi pia umemweka dhahiri uwezo wake wa kuelewa na kudadavua mambo. Fikira, katika hali kama ya sasa ambapo mataifa mengi makubwa yamejitenga kufanya biashara na Urusi, halafu anatokea mtu kutoka nchi masikini kama ya kwetu, nchi inayotegemea misaada na mikopo kujiendesha, anashauri eti sisi, tukafanye biashara na Urusi, anataka kuiweka wapi nchi yetu katika medani ya Kisiasa?

Ushauri wa kijana huyu umeonesha namna gani kijana huyu hana ufahamu na masuala ya uhusiano wa kimataifa, pia imeonesha namna gani hana 'rational thinking'.

Vijana wengi wanaona kuandika matusi na kukosa viongozi mtandaoni na kuwa na sauti kubwa ni mtaji wa kuwa mwanasiasa mzuri. Hapana, mtaji mkubwa wa kuwa mwanasiasa bora, sio bora mwanasiasa ni kusoma sana vitabu. Tazama mtu kama Zitto Kabwe, ni moja ya mifano ya watu ambao wana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja. Uwezo huu unatokana na mapenzi yao ya kusoma vitabu na kupenda kufuatilia mambo ya kidunia.

Ushauri wangu kwa vijana wenye ndogo kubwa kwenye tasnia ya siasa, mnawajibu wa kukuza na kuongeza maarifa yenu kila uchwao kwa kusoma vitabu.
Ukiacha vijana ni kiongozi gani wa kitaifa kati ya wale wakubwa watatu ambaye unamuona ana uwezo wa kujenga hoja na kuona mbali?
Tanzania tuna wanasiasa wengi kuliko viongozi ndiyo maana hatuendi mbele.Kiongozi anakuwa na vision na mwanasiasa anawaza uchaguzi!
Sasa unawashangaa nini vijana, ndivyo walivyolelewa,kupiga bla bla siku ziende!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom