Nadhani hii ndio inatutesa wengi, wengi wanaona wanachelewa na vitu haviendi so msongo wa mawazo unazidi.... Kuna sehemu nilionaga uliwahi kucomment ulisema ulianza kujipata around 33, nataka kujua hapo ulikua tayari umeshatoka Tanzania au laa.Bwashee kwa hizi familia zetu apache alolo changamoto kubwa mitaji ya biashara ,kujilinganisha kuogopa kufa , familia na changamoto ya kuanza upya .
Sijawahi kutoka Tanzania ila nafanya kazi za vipindi tu kwa kutumia makampuni ya nchi mbalimbaliNadhani hii ndio inatutesa wengi, wengi wanaona wanachelewa na vitu haviendi so msongo wa mawazo unazidi.... Kuna sehemu nilionaga uliwahi kucomment ulisema ulianza kujipata around 33, nataka kujua hapo ulikua tayari umeshatoka Tanzania au laa.
Pombe inazeesha mkuu.Picha yangu ya kwanza selfika nakumbuka ulisema nimezeeka🤣
Okay, hapo nimekupata.... Anyway, umri wa kuanzia 30 hadi 40 ndio umri ambao watu wanatamani wafix makosa yao yote waliyoyafanya kwenye 20s, kwahiyo mtu hujikuta anataka kutimiza kila kitu na usipokua na vipaumbele nirahisi sana kupoteana.Sijawahi kutoka Tanzania ila nafanya kazi za vipindi tu kwa kutumia makampuni ya nchi mbalimbali
Kumbe na wewe umeona lakini ukimpa mbususu mala moja ata ukisafili kwenda Los Angeles anaiona kila maraMchokozi
MviiBwashee wewe ni rika acha kuzunguka zunguka😆
Nilitaka kukuuliza jambo.Ulikuwa unafanya nini at your twenties?
Early adulthood, ?
Was your life figured already brother?
Was your path clear?
Yes ni kipindi ambacho unakuwa na stress sana kwasababu ndo unaanza kuona uhalisia wa maisha na umriOkay, hapo nimekupata.... Anyway, umri wa kuanzia 30 hadi 40 ndio umri ambao watu wanatamani wafix makosa yao yote waliyoyafanya kwenye 20s, kwahiyo mtu hujikuta anataka kutimiza kila kitu na usipokua na vipaumbele nirahisi sana kupoteana.
Kwanini nimpeKumbe na wewe umeona lakini ukimpa mbususu mala moja ata ukisafili kwenda Los Angeles anaiona kila mara
NakaziaUsijipe moyo wewe ni mzee
Bwashee naamini kwenye ubahili na kusave pesa , hasa kwa sisi tulio tokea maishi ya kawaida tuOkay, hapo nimekupata.... Anyway, umri wa kuanzia 30 hadi 40 ndio umri ambao watu wanatamani wafix makosa yao yote waliyoyafanya kwenye 20s, kwahiyo mtu hujikuta anataka kutimiza kila kitu na usipokua na vipaumbele nirahisi sana kupoteana.
Ni hakika mkuu.Yes ni kipindi ambacho unakuwa na stress sana kwasababu ndo unaanza kuona uhalisia wa maisha na umri
Ni muhimu sana, lazima malengo yatimie kwanza then ndio mambo mengine yanafuata.Bwashee naamini kwenye ubahili na kusave pesa , hasa kwa sisi tulio tokea maishi ya kawaida tu