Mtaachana
JF-Expert Member
- Mar 27, 2025
- 1,827
- 6,252
Duuuh nimecheka hapa kwenye daladala mpaka watu wananishangaaUnaweza kukuta bado ni wale vijana wa virasta juu ya kichwa kama Jogoo,na suruali inavaliwa chini ya makalio.
Duuuh nimecheka hapa kwenye daladala mpaka watu wananishangaaUnaweza kukuta bado ni wale vijana wa virasta juu ya kichwa kama Jogoo,na suruali inavaliwa chini ya makalio.
Hapana mjukuu wanguMzee naona umeanza kutupa ndoano mdogo mdogo
Hataree na nusu 😂 😂Uje ukishastaafu.
Na mafao yakiwa tayari.
Uje nikuonyeshe ujuvi wa mambo.
😝
Mimi tena mkuu 😭Ulivyoumbika hivyo, nitakuachaje?
Macho hayaoni vizuri mjukuu wanguMimi tena mkuu 😭
Macho hayaambiwi tazamaMacho hayaoni vizuri mjukuu wangu
mimi kwako sijiwezi kabisa, utakachosema mimi natekeleza tu, muhimu unipatie watoto 7Uje ukishastaafu.
Na mafao yakiwa tayari.
Uje nikuonyeshe ujuvi wa mambo.
😝
Mambo ya kwenda kwenye kampain za ccm na kuimba iyena iyena ccm ni nambari one😆😆 hili liliniuma sanaHata sielewi. Mama yangu akiwa na miaka 30 katuzaa wote tayari na nilikuwa namuona ni bonge la jimama😂😂😂😂eti sasa hivi na mimi ndio nipo huko huko😂😘😂
Uzee huu unanikumbusha nilivyopigana vita vya majimajiMacho hayaambiwi tazama
MchokoziMacho hayaoni vizuri mjukuu wangu
Ila majaliwa anawaka kitu black safi kabisaWENGINE tumebakiza miaka 11 kufika 50's
Mimi sipendii MVIIIII now nimegeuka kua Kasimu MAJALIWA MAJALIWA mwendo wa super black
😊
Wewe sio kijana wa miaka 40 ni mzee wa miaka 40 bwasheeMimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January , kwa sasa tunatimiza miaka 40 na na wale wa mwishoni 86 🤔
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia , kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo , ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔
Kwa ,uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35 🤔
Mmoja tu.mimi kwako sijiwezi kabisa, utakachosema mimi natekeleza tu, muhimu unipatie watoto 7
Nyie vijana wa 1990 mnanichanganya akili babu yenuMchokozi
Mapori ni mengi yanahitaji wakulima, wafugaji, na wachana mbao.Mmoja tu.
Usitupe moyo sisi ni wazeeKwahiyo min -me sasa hivi upo umri wa masugar daddy. Ila enzi hizo nikisikia mtu ana 40 namuona mzee sana, ila sasa hivi nawaona vijana tu.