Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,173
- 92,746
Waha hiyo inaeleweka, sasa na wewe mtoto wa town kutuvalia malonya inahusu🙄Sukari sukari nawaachia waha wa manyovu wapo njian kujitetea 😂
Waha hiyo inaeleweka, sasa na wewe mtoto wa town kutuvalia malonya inahusu🙄Sukari sukari nawaachia waha wa manyovu wapo njian kujitetea 😂
ofisini kwasababu nina mambo ya kitoto ila nie ni mkubwa hata kwa wanao niita madogo na hasa wadada ndio wana huo mchezo wa kuniita dogo 😅Safi mkuu - Rasi means mtu peace.
Labda kwa ofc wewe ndiyo Last Born kwa age
Wife - Yes huita waume zao Baba
Kanisani - Ni Title hasa kidogo ukiwa na mchele kidogo.
Mm nivae maronya kiaje sasa mamnyong'ode 😆😂Waha hiyo inaeleweka, sasa na wewe mtoto wa town kutuvalia malonya inahusu🙄
Mshua ni jamaa flani hivi age 50+ ,,anajipenda ,,manukato mazuri,ray band machoni,,. suruali jeans au kadet ,,shirt kali long au short sleeve plain haina mapicha picha ,, mkononi saa kali ,miguuni ana simple raba au simpe boot....
Kama huna sifa hizo wewe ni faza
Kama huna sifa hzo wewe ni faza 😄😄Hahaha
Nimegundua shida sio wewe.Siku hizi raha sana, ni wewe tu kuamua kufyatua huku umetulia! Gharama zake ndio uzae huna maelekezo utaita maji mma! Sikuhizi wanafutwa tu hakuna mambo ya kushika nnya, mimi naanzaje sasa kuchelewa mzee😎
Ndo shasema hakuna kuvaa kiha hapa mjini😎Mm nivae maronya kiaje sasa mamnyong'ode 😆😂
Huku Kenya mimi naitwa 'Msee'. Je, Niko kwenye kundi gani?Ukiitwa Mshua ,Dingi ,Father ni neema ,maana kwasasa vijana wanadanja sana below 35 ,ukiingia Facebook daily unaona vijana wadogo wametangulia mbele za haki na age zao ni below 35.
Mshua ni Father Mwenye Pesa.
Father na Dingi - Ni Age go ambaye ana pesa ya kawaida ya kula.
Mbaba - Ni Father/Dingi mara nyingi huitwa na watoto wa kike/wanawake.
Sasa mtaa umewakosea nini mpaka mnihamishe wajomba😂Nimegundua shida sio wewe.
Huo mtaa inabidi tukuhamishe..
Gharama za bed rest maankoli tupo tutaclear si anko banah.😉😉
Huo mtaa hauna wakorofi uvaazi wako wanakuogopa.Sasa mtaa umewakosea nini mpaka mnohamishe wajomba😂
Mzee ni kama kwetu tunavyotumia ,ni kama Oyaaa Mzee Baba niaje?Huku Kenya mimi naitwa 'Msee'. Je, Niko kwenye kundi gani?
Maana yake wewe ni shoga!Maana ya mshua ni nini wakuu?....kila angle ninayopita naitwa mshua, au ninaonekana njaa kali...
Nashindia madera😅Huo mtaa hauna wakorofi uvaazi wako wanakuogopa.
Siku moja vaa dera usumbuliwe sumbuliwe.
Basi nimefurahi kusikia hivyo. Juzi nilikuwa nakula kwenye mgahawa mmoja, nikasikia kijana wa kikenya akiwa na wenzake, huku akinipoint kwa kidole, akisema, "yule msee ako juu, kumgusa ni ile kitu haifai juu ana muguu ya kuku, so ni ngori mazee...", sikumwelewa na niliogopa sana.Mzee ni kama kwetu tunavyotumia ,ni kama Oyaaa Mzee Baba niaje?
Vipi Mzee niaje?
Mzee Vipi?
Nipo Mzee.
Kuna mtu aliyenizidi umri ameniita Mshua nikabaki tu kushangaa.Mshua ni mtu mzima mwenye pesa na pigo za kizungu
Karibu kwenye uzee. Mimi nilianza kuitwa hivyo karibu miaka mitano iliopita 😀😀😀
Itakuwa una pesa wewe pesa mwanakharamu mtu aliyekuzidi umri anaweza kukuamkia shikamoo😁😁😁Kuna mtu aliyenizidi umri ameniita Mshua nikabaki tu kushangaa.
Usiogope ni kamawaida sana au haujawahi kusikia ile Vipi Babu?Basi nimefurahi kusikia hivyo. Juzi nilikuwa nakula kwenye mgahawa mmoja, nikasikia kijana wa kikenya akiwa na wenzake, huku akinipoint kwa kidole, akisema, "yule msee ako juu, kumgusa ni ile kitu haifai juu ana muguu ya kuku, so ni ngori mazee...", sikumwelewa na niliogopa sana.
Vipi babu naijua na naitumia pia. Kilichoniogopesha ni hii sheng ya GenZ wa Kenya 😂Usiogope ni kamawaida sana au haujawahi kusikia ile Vipi Babu?