Vijana wa Dar wananiita mshua

Vijana wa Dar wananiita mshua

Ukiitwa Mshua ,Dingi ,Father ni neema ,maana kwasasa vijana wanadanja sana below 35 ,ukiingia Facebook daily unaona vijana wadogo wametangulia mbele za haki na age zao ni below 35.

Mshua ni Father Mwenye Pesa.

Father na Dingi - Ni Age go ambaye ana pesa ya kawaida ya kula.

Mbaba - Ni Father/Dingi mara nyingi huitwa na watoto wa kike/wanawake.
Mie kitaa wanaiitaa Rasi , ofisini wananitaa dogo viwanja waniita mkaka , wife ananitaa baba, kanisani wananiita baba ua mzee
 
Back
Top Bottom