bless on
JF-Expert Member
- May 22, 2026
- 912
- 2,201
Oya sio poa Kuna siku watoto walikuwa wananiita babuu nikawa naongeza mwendo sijaitika wala nini😁😁Usiogope ni kamawaida sana au haujawahi kusikia ile Vipi Babu?
Oya sio poa Kuna siku watoto walikuwa wananiita babuu nikawa naongeza mwendo sijaitika wala nini😁😁Usiogope ni kamawaida sana au haujawahi kusikia ile Vipi Babu?
Mtoto akikuata Babu ujue anamaanisha ,punguza vitu vya sukari ,chumvi ,fanya mazoezi kwasana.Oya sio poa Kuna siku watoto walikuwa wananiita babuu nikawa naongeza mwendo sijaitika wala nini😁😁
Marhabaaaa mwananguMshua shkamoo😅
Uchokozi, hutaki kusalimiwa dingi😂Marhabaaaa mwanangu
Ila huu uchokozi
Ndege mdinyaHuku Kenya mimi naitwa 'Msee'. Je, Niko kwenye kundi gani?
Hii ni ile kitu haifai.Ndege mdinya
Ushanifahamu cc SeranHii ni ile kitu haifai.
Nishakufahamu.Ushanifahamu cc Seran
Unamjua kuhani Musa?Nishakufahamu.
Ngoja waje wanaojua maana ya dingi sasaUchokozi, hutaki kusalimiwa dingi😂
Mkuu umeongea bonge la point unakuta mtu hataki mvi anaweka super black😁😁😁Mtoto akikuata Babu ujue anamaanisha ,punguza vitu vya sukari ,chumvi ,fanya mazoezi kwasana.
Halafu sijui kwanini watu hawataki ukubwa?
Kama hamtaki ukubwa basi kufeni mapema ndiyo suluhisho.
Watu kila siku tunaomba Mungu atupe maisha marefu yenye baraka na fanaka.
Nikajua dingi ndio mshuaNgoja waje wanaojua maana ya dingi sasa
Shauri zako
Alafu sura sio roho inaonesha kabisa umri umeshaendaaMkuu umeongea bonge la point unakuta mtu hataki mvi anaweka super black😁😁😁
Hahaa kama anavyofanya Clemence Mwandambo au PM Katelephone.Mkuu umeongea bonge la point unakuta mtu hataki mvi anaweka super black😁😁😁
Yote yana maana sawa mshua, baba, dingi ila sifa zinatofautiana baba akiitwa dingi maana yake huyo baba ana uswahili na ukuda mwingi Lakini baba akiitwa mshua maana yake ana uzungu mwingi😁Nikajua dingi ndio mshua
Mm naona kam tiktok vifo vimezidi au ndo hao hao wa FB maana mimi sina akaunti FB...ila tiktok daily utakuta kifo cha mtoto au kijana sijui mtandao una mapepo uleUkiitwa Mshua ,Dingi ,Father ni neema ,maana kwasasa vijana wanadanja sana below 35 ,ukiingia Facebook daily unaona vijana wadogo wametangulia mbele za haki na age zao ni below 35.
Mshua ni Father Mwenye Pesa.
Father na Dingi - Ni Age go ambaye ana pesa ya kawaida ya kula.
Mbaba - Ni Father/Dingi mara nyingi huitwa na watoto wa kike/wanawake.
Hahaha kuna wale wanaita baba zao mzeeYote yana maana sawa mshua, baba, dingi ila sifa zinatofautiana baba akiitwa dingi maana yake huyo baba ana uswahili na ukuda mwingi Lakini baba akiitwa mshua maana yake ana uzungu mwingi😁
Watakuwa ndiyo hao hao wa tiktok wanapostiwa pia facebook ,mimi sina account tiktok.Mm naona kam tiktok vifo vimezidi au ndo hao hao wa FB maana mimi sina akaunti FB...ila tiktok daily utakuta kifo cha mtoto au kijana sijui mtandao una mapepo ule