Vijana wa Dar wananiita mshua

Vijana wa Dar wananiita mshua

Mshua ni jamaa flani hivi age 50+ ,,anajipenda ,,manukato mazuri,ray band machoni,,. suruali jeans au kadet ,,shirt kali long au short sleeve plain haina mapicha picha ,, mkononi saa kali ,miguuni ana simple raba au simpe boot....

Kama huna sifa hizo wewe ni faza
Daa! Basi sawa faza
 
Back
Top Bottom