Vijana na biashara za viwanda

Vijana na biashara za viwanda

Wazalendo_Tz

Member
Joined
Jul 7, 2026
Posts
17
Reaction score
25
Wakuu hivi kwanini vijana hatugusi kabisa biashara za viwanda tunakimbilia maduka tu

Wakati miaka ya nyuma pale kitumbini palikua ni soko la wahindi tu sasa wamebaki wachache wengi wao

Wamehamia kwenye uzalishaji wa bidhaa kwanini sisi tusifikirie huko au tunakwama wapi
 
Wakuu hivi kwanini vijana hatugusi kabisa biashara za viwanda tunakimbilia maduka tu

Wakati miaka ya nyuma pale kitumbini palikua ni soko la wahindi tu sasa wamebaki wachache wengi wao

Wamehamia kwenye uzalishaji wa bidhaa kwanini sisi tusifikirie huko au tunakwama wapi
Unafikiri kiwanda ni bodaboda kijanq akiwa na 1.5m ananunua kwa mtu!
 
Issue ni kuanza na Maduka then unaingia kwenye manufacturing baada ya kua na Mtaji, hata akina Mo ndo walianza hivo
 
Back
Top Bottom