M-sure....

RRONDO

JF-Expert Member
Jan 3, 2010
51,719
107,824
Hivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.

Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?

Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
 
M-sure
1.Una pesa ya kutosha.
2.Dressing code za ki“father”... Namna unavyotembea na kuongea ki“father”.
3.Mtu mwenye umri mkubwa unayeishi kama kijana wa makamo.
4.Mtu mzima unayependwa sana na vijana kutokana na lifestyle yako kuwavutia.
One of the above might be the answer.
 
M-sure
1.Una pesa ya kutosha.
2.Dressing code za ki“father”... Namna unavyotembea na kuongea ki“father”.
3.Mtu mwenye umri mkubwa unayeishi kama kijana wa makamo.
4.Mtu mzima unayependwa sana na vijana kutokana na lifestyle yako kuwavutia.
One of the above might be the answer.
3/4 correct.
 
Hivi M-sure maanake nini? Nauliza hivi kwasababu kuna vijana around my office wananiita m-sure hata around my neighbourhood vijana wengine wananiita m-sure. Ni vijana nimewazidi miaka 10 au 15 hivi.

Utawasikia m-sure mamabo vipi? Au m-sure heshima yako?

Enzi mimi nakua m-sure tulikuwa tunamuita baba. Sasa ina maana mimi nalingana na baba zao hawa vijana au m-sure ina maana gani? Im over 30!
mshua ni tajiri
 
Back
Top Bottom