Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,557
- 93,424
Usisahau na tupoda tu😆Unikumbushe ankoli apokelewe na vinguo vipya vipya.😂
Usisahau na tupoda tu😆Unikumbushe ankoli apokelewe na vinguo vipya vipya.😂
Hahaha hahah umenikumbusha mbali sana...Usisahau na tupoda tu😆
Me nataka hata fifty years nile look matata scents, Jordan hv,Cc: Monetary doctor 📌
Dogo kobaz tatizo hiyo mikanzu na mibaraghashia unayovaa.maana yake pingili zimeshaanza kusoma namba
huwa nachukia sana nikiamkiwa shikamoo
Marrrrrraaaangu hujambo babanguuuuDogo kobaz tatizo hiyo mikanzu na mibaraghashia unayovaa.
Nenda ukajambiwe uondolewe nuksi.
Archnemesis 2-0 hydroxo
Ulivyokuwa unapaka mtoto au enzi za kuzaliwa kwako?Hahaha hahah umenikumbusha mbali sana...
Kwamba vitambaa ndio vinalea mtoto😂Me nataka hata fifty years nile look matata scents, Jordan hv,
Sasa nna watoto wawili bi mkubwa anasisitiza suruali za kitambaa niachane na majinzi 😆
Hapana anataka uonekane kibamba zaidiKwamba vitambaa ndio vinalea mtoto😂
Mwanaume anayevaa mavitambaa hapana jamani😫
Oya udindivu wanasemaje uko?Dogo kobaz tatizo hiyo mikanzu na mibaraghashia unayovaa.
Nenda ukajambiwe huko uondolewe nuksi.
Archnemesis 2-0 hydroxo
Daah nshakukosa kumbe.Kwamba vitambaa ndio vinalea mtoto😂
Mwanaume anayevaa mavitambaa hapana jamani😫
Labda uvae zile zenyewe sio ukakate likitambaa halieleweki ukashoneshe huko, lazima uwe mdingi tuHapana anataka uonekane kibamba zaidi
Suruali za kitambaa za kushona kwa fundi ama nichukue dukani kariakoo naona ziko poa ukipata na koti ya suti saa mkononi..... Kiatu safi aaah baba ubatizo nipo hapa
Nashona kwa fundi kabisa, afu kitambaa cha suti vinatofautiana aina, rangi na texture ko ni hela yako tuu ukitaka kitambaa cha uji uji ama sukari ni wewe tuu 😂Labda uvae zile zenyewe sio ukakate likitambaa halieleweki ukashoneshe huko, lazima uwe mdingi tu
Enzi nikiona wadogo zangu wakipakwa poda baada ya kuogeshwa..Ulivyokuwa unapaka mtoto au enzi za kuzaliwa kwako?
Aiseee labda ushone kisasa hata pale kwa suti bega ila sio hayo ma sukarisukari itaboaa😤Nashona kwa fundi kabisa, afu kitambaa cha suti vinatofautiana aina, rangi na texture ko ni hela yako tuu ukitaka kitambaa cha uji uji ama sukari ni wewe tuu 😂
Sikuhizi watoto wanateleza tu hakuna mapoda wala nini😎Enzi nikiona wadogo zangu wakipakwa poda baada ya kuogeshwa..
Enzi za mbeleko.
Mna bahati sanaSikuhizi watoto wanateleza tu hakuna mapoda wala nini😎
Safi mkuu - Rasi means mtu peace.Mie kitaa wanaiitaa Rasi , ofisini wananitaa dogo viwanja waniita mkaka , wife ananitaa baba, kanisani wananiita baba ua mzee
Siku hizi raha sana, ni wewe tu kuamua kufyatua huku umetulia! Gharama zake ndio uzae huna maelekezo utaita maji mma! Sikuhizi wanafutwa tu hakuna mambo ya kushika nnya, mimi naanzaje sasa kuchelewa mzee😎Mna bahati sana
Sijui kuna pempasi hakuna kufua matambala
Kuna sijui babywalker
Kuna bebeonsijui linaitwaje hakuna mbeleko..
Nakushangaa wewe sijui kwanini unachelewa kula maembe mabichi na pilipili.😂😂
Sukari sukari nawaachia waha wa manyovu wapo njian kujitetea 😂Aiseee labda ushone kisasa hata pale kwa suti bega ila sio hayo ma sukarisukari itaboaa😤