Vijana tafuteni pesa uzee mwisho Chalinze

Vijana tafuteni pesa uzee mwisho Chalinze

Ni wapi huko tuwaelekeze polisi kabisa? Mmoja anautafuta umauti kwa gharama sana
Kama huyo binti ni above 18 na hakulazimishwa, na siyo mke wa mtu, hakuna jinai yoyote, so polisi hawahusiki
 
Nakubaliana Nawe asilimia Zote Mkuu.
HAKUNA USEMI WA KIJINGA NA KIFWALA KAMA ULE ETII. Money CANNOT but happiness. Ila ndio misemo kama hio ipo Kuwafariji WALIOKATA TAMAA KABISA. Sie jomon tuendelee kupambana. Hakuna mtu anazaliwa na $$$. Ila mape$$$a yapo sana mtu ukipambana na kucheza kamari zako vizuri.
money can buy temporary happiness. Kuna wenye hela sana hawana furaha, anakula lkn majonzi matupu...
 
Ukiwa huna Pesa unakua una amini hivyo ila ukija kuipata unatambua kua kumbe haukua sahihi.
Matatizo ambayo pesa haiwezi kutatua umasikini pia hauwezi. I will give you two scenarios

1. Umepigiwa simu bi mkubwa anaumwa kutokana na kutokua na hela ukashindwa kumpeleka hospital bi mkubwa akafariki.

2. Umepigiwa simu bi mkubwa anaumwa kwa kua unapesa ukapambana ukampeleka hospital chap kupatiwa matibabu. Lakini bahati mbaya bi mkubwa akafariki.

Angalia hizo scenarios mbili matokeo yake yote yanafanana bi mkubwa alifariki. Ila scenario ya kwanza inakuacha na kujilaumu na kujiona mkosaji kwa kushindwa kupambania uhai wa bi mkubwa. Ambapo huenda angepona au asingepona but you never had that option of finding out what would have happened sababu ya umasikini and it will haunt you for the rest of your life.

Scenario ya pili ndio utakua na huzuni kuondokewa na mama but you did everything you could kilichotokea nI kazi ya Mungu and eventually you will make peace with that.
 
money can buy temporary happiness. Kuna wenye hela sana hawana furaha, anakula lkn majonzi matupu...
Hata hio temporary happiness ni happiness pia. Ni mtu kutumia financial resources vizuri ili short term happiness iwe long term happiness. Ila sometimes ni mtu tu anashindwa kutumia resources zake vizuri. HAKUNA MAJONZI AU STRESS MBAYA KAMA YA WATU WASIO NA $$. Mie nimesha-experience zote. Na KAMWE SINTOKUBALI KURUDIA UMASKINI sababu hakuna any pleasure au happiness katika umaskini.
 
Dunia hii ukiwa na pesa kila mtu anakuona wewe ndio una busara, hekima, na hata upendo, watakusifia kweli.. ili uwasaidie. Kwa hio, yeah, pesa inanunua vyote hivyo sababu mwenye $$ ndio anaonekana ana hekima na busara zaidi ya wengine.
Na hata Kanisani hao wenye pesa zao ndo wanaopewa Uzee wa Kanisa.
 
Nakubaliana Nawe asilimia Zote Mkuu.
HAKUNA USEMI WA KIJINGA NA KIFWALA KAMA ULE ETII. Money CANNOT but happiness. Ila ndio misemo kama hio ipo Kuwafariji WALIOKATA TAMAA KABISA. Sie jomon tuendelee kupambana. Hakuna mtu anazaliwa na $$$. Ila mape$$$a yapo sana mtu ukipambana na kucheza kamari zako vizuri.
Umasikini tunauishi tu ila hauna jema hata kidogo
 
Ukiwa huna Pesa unakua una amini hivyo ila ukija kuipata unatambua kua kumbe haukua sahihi.
Ndg itakuwa haujashika hela nzuri bado. Mimi ni true testimony ya kutoka umaskini hadi kushika mape$$a mazuri kabisa. Namshukuru Mungu. Tena NILISHAWAHI KUPOTEZA KILA KITU, na hilo lilkuwa somo zuri sana. Manake nilikuwa maskini sana mwanzo, nikawa fogo sana. NIKAFANYA MAKOSA, NIKAPOTEZA KILA KITU NIKAANZA MWANZO tena kujijenga. Na Mungu amenibariki tena sana sana.

Ila sitaruhusu hilo tena la kuanguka litokee. Ni Mungu aendelee kunipa afya na uzima. Kiukweli wote tutaondoka duniani. Ila ni vizuri kuishi maisha mazuri sana yasiyo na stress za kukosa hela.. kuliko maisha na uzee wa ufukara au umaskini.
 
Ndg itakua haujashika hela nzuri bado. Mimi ni true testimony ya kutoka umaskini hadi kushika mape$$a mazuri kabisa. Namshukuru Mungu. Tena NILISHAWAHI KUPOTEZA KILA KITU, na hilo lilkuwa somo zuri sana. Manake nilikuwa maskini sana mwanzo, nikawa fogo sana. NIKAFANYA MAKOSA, NIKAPOTEZA KILA KITU NIKAANZA MWANZO tena kujijenga. Na Mungu amenibariki tena sana sana.

Ila sitaruhusu hilo tena la kuanguka litokee. Ni Mungu aendelee kunipa afya na uzima. Kiukweli wote tutaondoka duniani. Ila ni vizuri kuishi maisha mazuri sana yasiyo na stress za kukosa hela.. kuliko maisha na uzee wa ufukara au umaskini.
Huo mstari wa juu kabisa,nakushauri kua usipende kumuhukumu mtu ambaye humfahamu,

Back to the topic,naona umetoka nje ya topic,ina maana hujawahi kuona matajiri hawana furaha? kuna matajiri wanateseka na maradhi na pesa zao zimeshindwa kuwasaidia lolote,unaweza ukawa tajiri ila ukawa huna peace of mind kitu ambacho ni muhimu pia,

Ndio maana nikasema mtu akiwa hana Pesa hudhani kua pesa ndio kila kitu ila ukija kuipata unatambua kua kuna vitu muhimu zaidi ya fedha,there's no greater wealth than peace of mind,

Pesa ni muhimu kwa maisha ya Dunia ya leo ila tambua kua unaweza ukawa na fedha ila ukakosa furaha kutokana na matatizo ya kidunia,inaweza kua maradhi au matatizo ya kifamilia.
 
Huo mstari wa juu kabisa,nakushauri kua usipende kumuhukumu mtu ambaye humfahamu,

Back to the topic,naona umetoka nje ya topic,ina maana hujawahi kuona matajiri hawana furaha? kuna matajiri wanateseka na maradhi na pesa zao zimeshindwa kuwasaidia lolote,unaweza ukawa tajiri ila ukawa huna peace of mind kitu ambacho ni muhimu pia,

Ndio maana nikasema mtu akiwa hana Pesa hudhani kua pesa ndio kila kitu ila ukija kuipata unatambua kua kuna vitu muhimu zaidi ya fedha,there's no greater wealth than peace of mind,

Pesa ni muhimu kwa maisha ya Dunia ya leo ila tambua kua unaweza ukawa na fedha ila ukakosa furaha kutokana na matatizo ya kidunia,inaweza kua maradhi au matatizo ya kifamilia.
Unakosea ndg unavyotoa mifano ya watu wengine. Na kutetea mada yako kwa kutumia mifano ya wengine (umeniuliza sijawahi kuona... ??). Hio sio sawa kabisa. Kama mtu amezaliwa na genes za maradhi, basi itakuwa tu hivyo hivyo. Matajiri wanaokuwa na matatizo ya afya unakuta ni family history.. manake ni maradhi ya kurithiwa yanatembea katika ukoo. Either way, lazima anashukuru Mungu kuwa na uwezo mzuri wa kifedha sababu kwa maradhi hayo, hayawezi kuepukika, na hata asingekuwa na uwezo unakuta angekuwa nayo tu. Lakini bado pesa inamsaidia kuliko angekuwa na hayo maradhi na ufukara juu yake. Usipende sana kutolea mifano ya watu. Ndio maana mimi Sipendi kutolea watu mifano, I like to speak from own experience.
 
Unakosea ndg unavyotoa mifano ya watu wengine. Na kutetea mada yako kwa kutumia mifano ya wengine (umeniuliza sijawahi kuona... ??). Hio sio sawa kabisa. Kama mtu amezaliwa na genes za maradhi, basi itakuwa tu hivyo hivyo. Matajiri wanaokuwa na matatizo ya afya unakuta ni family history.. manake ni maradhi ya kurithiwa yanatembea katika ukoo. Either way, lazima anashukuru Mungu kuwa na uwezo mzuri wa kifedha sababu kwa maradhi hayo, hayawezi kuepukika, na hata asingekuwa na uwezo unakuta angekuwa nayo tu. Lakini bado pesa inamsaidia kuliko angekuwa na hayo maradhi na ufukara juu yake. Usipende sana kutolea mifano ya watu. Ndio maana mimi Sipendi kutolea watu mifano, I like to speak from own experience.
Naona umeamua kukomaza fuvu kisha kutaka kunipangia cha kucoment na mifano gani nisiitumie! Lengo langu kuu ni kupinga ile kauli kua ukiwa na fedha basi unakua huna matatizo! na unakua na furaha tu! jaribu kufuatilia mada huenda umerukia njiani!
 
Kama kanatumia viagra basi pesa yake itamzika na nyumba ndogo itaendelea kukamuliwa na bodaboda na wapiga gym.
 
Back
Top Bottom